YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,911
- 51,889
Kumekuwa na kelele nyingi kuhusu serikali inayoitwa ya umoja wa kitaifa
Serikali ya umoja wa kitaifa ni ile inayohusisha watu wa makundi yote mfano wahindi,wazungu ,waafrika nk walioko ndani ya nchi
Mfano Uingereza waziri wa Nishati,Viwanda na Biashara ni raia mwenye asili ya Ghana Kwasi KWARTENG huyo hapo
Waziri wa Mambo ya ndani ni Muhindi mama Prit Patel huyo hapo
Hiyo ndio inaitwa serikali ya umoja wa kitaifa hizo zingine za kuunganisha vyama ni porojo tu
Serikali ya umoja wa kitaifa ni ile inayohusisha watu wa makundi yote mfano wahindi,wazungu ,waafrika nk walioko ndani ya nchi
Mfano Uingereza waziri wa Nishati,Viwanda na Biashara ni raia mwenye asili ya Ghana Kwasi KWARTENG huyo hapo
Waziri wa Mambo ya ndani ni Muhindi mama Prit Patel huyo hapo
Hiyo ndio inaitwa serikali ya umoja wa kitaifa hizo zingine za kuunganisha vyama ni porojo tu