Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,953
- 4,326
Tofauti na ilivyokuwa katika kampeni za miaka ya nyuma ambapo ajenda hii ilibebwa sana na vyama vya upinzani, hasa CHADEMA, sasa hivi vyama hivi havilizungumzii kabisa suala hili.
Je, sababu yake ni nini? Inajulikana kati ya waliofaidika na mpango huo wa serikali ya awamu ya tatu ni pamoja na waheshimiwa Sumaye, Kingunge, Magufuli na Lowasa.
Je, sababu yake ni nini? Inajulikana kati ya waliofaidika na mpango huo wa serikali ya awamu ya tatu ni pamoja na waheshimiwa Sumaye, Kingunge, Magufuli na Lowasa.