Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,441
- 7,780
Ndege iliyobeba miili ya watanzania 13 waliopata ajali nchini Uganda imewasili jijini DSM usiku wa kuamka leo.
Miili hiyo imepelekwa hospitali ya Lugalo ambapo leo saa 3:30 asubuhi kutafanyika ibada maalum na baada ya hapo miili 7 itasafirishwa kwenda Moshi wakati 3 ikielekea Dodoma.
Serikali ya Uganda ndiyo iliyolipia gharama za ndege hiyo.
Miili hiyo imepelekwa hospitali ya Lugalo ambapo leo saa 3:30 asubuhi kutafanyika ibada maalum na baada ya hapo miili 7 itasafirishwa kwenda Moshi wakati 3 ikielekea Dodoma.
Serikali ya Uganda ndiyo iliyolipia gharama za ndege hiyo.