Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

Rais wako kakurupuka kwenye hili, angeweza kuonyesha busara kwa kuomba mazungumzo.. utadhania alikua anasubiria Kenya wachemke awafundishe ujeuri! Sijui nani kamshauri kufanya hivi, yaani anasahau Kama ni yeye ndie alitoa tausi! Lol


We kilaza wa kiwango cha SGR... Yaan umezuiwa halafu niombe mazunguzo???
 
Ona sasa unavyoongea upuuzi !
Unashindwa kuzibiti vidole vyako kuandika upuuzi.
Maamuzi ya ....... hebu niambie ni ya aina gani?
Upuuzi according to who?You?

Buaahaahahaha

Kama ni upuuzi umepitia na ku-comment,which means my post has a pull on you!

Who cares thereafter?Nobody!

Tumeyapa ajira hayo matakataka yafanye maamuzi sahihi kuhakikisha yanatetea our best economic interests at all costs,instead wameenda kufanya maamuzi ya mavi kama unavyowashabikia!

October 2020 tunafukuza kazi yote yakalime,tuweke wenye akili!

Yameshindwa kazi kabisa!
 
Nasikia wameufyata ila kwanini Wakenya ukigusa KQ wanasanda kama wameshikwa kende ...hata Mkwere alipunguzaga tu route wakanyooka vibaya ...

Ndio mjue hilo shirika hata kama linaendeshwa kwa hasara lakini taifa linapata faida kwa milango mingine muhimu zaidi ...
Katika hilo shirika la kq serikali ya kenya inamiliki ndege tatu tu nyingine zote ni za mabeberu so wamemshinikiza Kenyatta aombe radhi haraka cz hawako tayari kupata hasara na kwakuwa Kenyatta ana 10% ameufyata.
 
Najiuliza kwanini wasingeenda Kenya au kumtumia balozi wetu kutatua kidiplomasia kuliko kujimwambafy?
Je umejiuliza pale China walipofunga ofisi ndogo ya ubalozi wa Marekani nchini China baada ya Wamarekani kuufunga wa China kule Marekani?
 
Whom one mwenye akili?
Unawaza kwa kitumia nn !
Just look your self 90% people blame you instead ya kuukiri ukweli umeanza kutukana kama defence mechanism ya kukinga hoja zako
Alafu hebu jaribu kufikiri huyo mwenye Maamuzi ya kimavi leo hii uko huru kwenda huku na kule bila lock down na bila bugdha coz of him
- vituo bwelele vya afya
- wanyonge nao ni watu
- fly over dar kama mbele
-uchumi wa kati tuseme basi uchumi hauja reflect maisha ya watu but la serikali kuweza kujiendesha kasoro ya kusubiria misaada yenye masharti ya kuharibu wanao wa kiume
-sasa kwenye jamii kuna equality , no one above mwingine , maonez hamna
-Rushwa tunaisikia kwengine .
- Miradi ya trillion za pes a Kama S. Gauge

Kama utashindwa ku appreciate basi watoto wako watajutia siku moja kupata mzazi bure kama ww pamoja na hayo nahisi ww x mzima hebu jichunguze kdg
La mwisho jiandae kuangukia pua kama JPM atashindwa njoo chukua 5M kwangu. Ukitaka mawasiliano nitakupa ila kama akishinda ita prove ur nothing na hayo matusi yako hayaongozi nchi yatabaki kuwa matusi tu ya mitandao na kero kwa familia yako. Kwaheri
-
Upuuzi according to who?You?

Buaahaahahaha

Kama ni upuuzi umepitia na ku-comment,which means my post has a pull on you!

Who cares thereafter?Nobody!

Tumeyapa ajira hayo matakataka yafanye maamuzi sahihi kuhakikisha yanatetea our best economic interests at all costs,instead wameenda kufanya maamuzi ya mavi kama unavyowashabikia!

October 2020 tunafukuza kazi yote yakalime,tuweke wenye akili!

Yameshindwa kazi kabisa!
 
Naunga mkono hoja,hakuna kuzembeana,tamko kwa tamko,jino kwa jino,kauli kwa kauli kwan kuna anayemlisha mwenzake,wakenya wakwende wasitutishe,mamii dimelaga henaho#AMAENDELEO GADE NA CHAMA!
 
Tanzania imekurupuka ila kwa Magufuli hilo ni jambo la kawaida. Kiongozi asiye na uvumilivu wala staha kwa 100%. Kumbe Tanzania imeanza chokochoko muda hadi malori ya mbao yalishagataifishwa na Magufuli!
Upinzani usisababishe ukauza nchi yako. Mpuuzi mmoja wewe!
 
"Mathayo 21:42 Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni; Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni ajabu machoni petu?
Mathayo 21:43 Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.
Mathayo 21:44 Naye aangukaye juu ya jiwe hilo atavunjika-vunjika; naye ye yote ambaye litamwangukia, litamsaga tikitiki.
Mathayo 21:45 Wakuu wa makuhani na Mafarisayo, waliposikia mifano yake, walitambua ya kuwa anawanenea wao."


Nadhani JIWE limeeleweka.
Jiwe walilokikataa waashi sasa limekuwa Jiwe Kuu la Pembeni.
Mkilichezea lita wavunjavunja na kuwasaga kabisa yaani tikitiki
Nadhani Majirani wanafahamu kuwa nawanenea wao. Kwa kusikia mfano huu.

Jesus is Lord.
 
Whom one mwenye akili?
Unawaza kwa kitumia nn !
Just look your self 90% people blame you instead ya kuukiri ukweli umeanza kutukana kama defence mechanism ya kukinga hoja zako
Alafu hebu jaribu kufikiri huyo mwenye Maamuzi ya kimavi leo hii uko huru kwenda huku na kule bila lock down na bila bugdha coz of him
- vituo bwelele vya afya
- wanyonge nao ni watu
- fly over dar kama mbele
-uchumi wa kati tuseme basi uchumi hauja reflect maisha ya watu but la serikali kuweza kujiendesha kasoro ya kusubiria misaada yenye masharti ya kuharibu wanao wa kiume
-sasa kwenye jamii kuna equality , no one above mwingine , maonez hamna
-Rushwa tunaisikia kwengine .
- Miradi ya trillion za pes a Kama S. Gauge

Kama utashindwa ku appreciate basi watoto wako watajutia siku moja kupata mzazi bure kama ww pamoja na hayo nahisi ww x mzima hebu jichunguze kdg
La mwisho jiandae kuangukia pua kama JPM atashindwa njoo chukua 5M kwangu. Ukitaka mawasiliano nitakupa ila kama akishinda ita prove ur nothing na hayo matusi yako hayaongozi nchi yatabaki kuwa matusi tu ya mitandao na kero kwa familia yako. Kwaheri
-
Blah blah blah

Badala ujikite kwenye hoja ya Kenya,umejikita kutetea Magufuli re-election debacles!

Go to hell with him!

Jibu hoja ya Kenya ya covid-19 kwa evidences!

Still majibu hamna!

Ban zinafuata kutoka dozens of countries worldwide goodluck with that!
 
Tunazisubiri kwa hamu sana hizo BAN toka mataifa mbalimbali.
Na itatuuma sisi, na tutateseka sisi.
Pili Pili usiyoila inakuwashiani.
 
Back
Top Bottom