Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

Mkuu naomba uiniekeweshe,je waliozuiwa kwenda Kenya ni watanzania au ni ndege za Tanzania?maana ninachojua Mimi wakenya wametangaza ndege za nchi 11 zinazoruhusiwa kutua kwenye viwanja vyao.
Kwahiyo ndege zinaweza kwenda bila ya abiria kutoka TANZANIA haijalishi awe mtanzania au mtu kutoka TANZANIA ndio waliozuia sababu ya korona au ndege tupu inakua na Corona?
 
So what!? let see kama kama hatutapata hizo hela, kwahiyo tuwe watumwa sababu ya hela!?
We unahisi uamuzi wetu na wao hautawapa loss? Tunachotaka no win win trade deals na sio nonsense. Wao wametumia corona kujustify, sisi tumeenda direct
Route zipo nyingi tu sio lazima JKIA, ndio maana nikasema trade ni dynamic sio static mzee.
Acha upumbavu...

Hela na uchumi ndio utumwa unaotakiwa!

Unataka utumwa wa nini?

Utumwa wa upumbavu wako kichwani humo?

Economy kwanza,emotions zako peleka kwa mkeo huko!

Hela utapata wapi na trade routes zote ni locked?

Na brother,mind you,we will be shocked when other countries follow suit!

Utakuja na majibu ya chooni hapa "wanatuonea wivu"....nchi zote zikuonee wivu wewe nani?

Tumebakia kua nchi ya comedy kuhusu korona kama Madagascar na Burundi,tumekua nchi shithole kabisa

Tupo level moja na manchi mavi matupu....

The world countries demand answers about our stupid ways of dealing with corona,tumejaza virus humu,na tunakua banned....left and right!

Wait and see
 
Kwahiyo ndege zinaweza kwenda bila ya abiria kutoka TANZANIA haijalishi awe mtanzania au mtu kutoka TANZANIA ndio waliozuia sababu ya korona au ndege tupu inakua na Corona?
Ndege gani za tz zilikuwa zinaenda Kenya kabla ya corona na zilikuwa zinaenda Mara ngapi? Ila najua watanzania hata kabla ya corona tulikuwa tunaenda Nairobi kwa KQ ambao hutua bongo zaidi Mara tano kwa siku.lakini pia watanzania tumekuwa tukienda bongo kwa basi la saibaba ambalo huenda Kenya kila siku.Sasa Kama tulikuwa tunaenda Kenya miaka yote kwa KQ na saibaba kitu gani kimefanya Leo tuwazuie wao kuja Kama si mihemuko? Au watanzania wamezuiliwa pia kupanda KQ?
 
Mkuu Kenya wametangaza first round nchi 11,je dunia hii Ina nchi ngapi?Je hizo nchi zingine zimereact Kama sisi? Kwa nini sisi tujione tumefungiwa?Huoni kuwa tumeonesha utoto na kutojiamini?Tumeshindwaje kuvuta subra kidogo tuone mwisho wake? Kwangu Mimi logic was simple kwamba Kama hawataki ndege zetu ziende Kenya kwa sababu zitapeleka wtz kwa kuwa Wana corona,je KQ ingekuja bongo kupakia akina nani? I think mihemuko tumeiweka mbele than anything ease
Kwa iyo majibu ya wengine ndo tungekopi then tufanye modifications tutoe majibubyetu au majibu ya wengine ndo majibu yetu?
Au tungesubili tuone madhara ndo tu react au tungetakiwa kuchukua muda gani ndo tujibu?
 
Kwa iyo majibu ya wengine ndo tungekopi then tufanye modifications tutoe majibubyetu au majibu ya wengine ndo majibu yetu?
Au tungesubili tuone madhara ndo tu react au tungetakiwa kuchukua muda gani ndo tujibu?
Madhara gani kwa mfano? Kabla ya corona ni ndege gani za Tanzania zilikuwa zinatua kwenye viwanja hivyo vya Kenya? Labda tuanzie hapo
 
Acha upumbavu...

Hela na uchumi ndio utumwa unaotakiwa!

Unataka utumwa wa nini?

Utumwa wa upumbavu wako kichwani humo?

Economy kwanza,emotions zako peleka kwa mkeo huko!

Hela utapata wapi na trade routes zote ni locked?

Na brother,mind you,we will be shocked when other countries follow suit!

Utakuja na majibu ya chooni hapa "wanatuonea wivu"....nchi zote zikuonee wivu wewe nani?

Tumebakia kua nchi ya comedy kuhusu korona kama Madagascar na Burundi,tumekua nchi shithole kabisa

Tupo level moja na manchi mavi matupu....

The world countries demand answers about our stupid ways of dealing with corona,tumejaza virus humu,na tunakua banned....left and right!

Wait and see
Relax usipanick na matusi, jibu hoja, hizo route sio za barabara kwamba haziwezi kubadilika, hebu lete orodhesha hizo economic benefits tutakazo kosa kiasi kwamba uchumi wa nchi utayumba au tutapoteza customers kiwango unachoeleza.
Wewe ndo unahisia bro ndio maana unatukana, relax usipanick. Trade embargo na kenya hatujaanza leo, ili uwe na win win kwenye trade lazima uwe na upper hand ngoja tuone kwenye hii saga nani ana upper hand?
 
Hayahaya kumekucha kumekucha



Watetezi wa Kenya mmeshasalitiwa na mjumbe hapa.
Walijaribu kusikojaribiwa
 
Agressions zote za nini hizi?

Kuna namna nzuri ya ku-address what Kenya did na sio huu utoto wa shortcuts namna hii!

Wewe umejaza makorona nchini mwako, Kenya lazima wachukue hatua, and then na wewe unachukua jibu rahisi sana la kukataza zao?

Majibu yaliyofeli shule bwana, hesabu ngumu hayawezi, yanaweza hesabu rahisi rahisi tu.

Cheza chess hii!
Hapana sababu sio Corona Kama ni Corona. Asinge Bana za Tz tu, hata zake angezizuia zisije Tz.

Yaana angeitenga Tz kwa ujumla.
Sasa unazuiaje za Tz zisitue kwako. Coz of Corona?

Ina maana hizo zako zikija tz Zina port yake binafsi au zinateremshia angani. Bila any Contacts Kati ya ndege na watu wako na Hawa wa Tz.
Pia hazichukui mtu yeyote labda Wala kitu from Tz ports.

Ukisema sababu ya wao kuzuia ndege za Tz Hilo ni upumbavu kama hajakataa n awao kutua kwetu.

Reaction iliyochukuliwa na Tz na sawa. Some times short cut is the right cut,
Kwanini tuumize kichwa..
Waje wao Sasa kuomba mazungumzo.
Au kila mtu abaki na viwanja vyake
 
Unaona vile huwa munajidanganya! Route ya pesa mingi kwa KQ in EAC ni Nairobi-Mombasa ambayo iko na 10 flights kwa siku. Tafadhali penda kufanya research annual books of account za KQ ziko mtandaoni.
Nyingi ni nyingi tu. Hata kama haiongozi.

Haya hmaishie hizi route za Tz to Nairobi Mombasa. M make up for the loss
 
Ilitakiwa iandikwe hivi "Due to the persistence of the corona epidemic in Kenya where it is clear that the Kenyan government has failed to control it so the Tanzanian government has decided to use discretion not to allow any flights from Kenya that are Nairobi or Mombasa even kisumu especially for airlines that transport passengers from kenya such as KQ Jambo jet and even Precision air this implementation will involve the transportation of passengers in those airlines that plan to transport passengers to our airports especially Dar es salaam Kia & Arusha as well as Mwanza this ban officially starts tomorrow 01 -08-2020"
Usitufokeee
 
Kenya Hoi na wameomba PO.
Nasi tunawasamehe.
Msilete jeuri siku nyingine.
Hatuta wasamehe.

Uchumi sio Lugha ya Wakoloni na kuvaa suti.
Pumbaf zenu.
Chokozeni tena muone
 
Wazee, kama nimeona kwa Millard Ayo kuwa waziri mhusika uko Kenya kasema watanzania wataruhusiwa kuingia, ilikuwa ni hitilafu tu? :D :D :D
 
Utupolo ! Utupolo na sema hv huu ni utupolo!
Hoja ya Tanzania kumnyima ruhusa barozi wa kenya kwenye mazishi umeitoa wapi wakati kenya wenyewe wamesema hali ya hewa.
Hoja ya kwamba Tz kuna Corona tunaificha ! Iyo Corona imetokea wapi maana mm ciyoni na simwoni amayeumwa kama wanaumwa wao si sisi?
Hoja ya tz kufunga mipaka naunga mkono iweje mtu atake chako wakati chake hataki kushea huu ni unyonyaji kama taifa lao wanavyo nyonyana naweza sema hii ni pumba namba moja kwenye hii thread naomba Watanzania tuipinge kwa namna yoyote. Wapinzani mnatafuta huruma hamnaga huruma ya hivyo. Sawa
MUTUA: Tanzania ni jirani jeuri, tuvumilie kuishi naye

Na DOUGLAS MUTUA
NCHI inapojipata na jirani mbaya ilhali yenyewe haiwezi kuhama au kumhamisha, inapaswa kufanya nini?
Nimeandika hapa kwa takriban miaka mitano sasa, tangu Dkt John Pombe Magufuli achaguliwe rais Tanzania, kwamba taifa hilo si rafiki bali adui.
Japo halijatangaza uadui wa wazi, kuna mifano kadhaa ya mambo ambayo ukijumuisha moja na moja, utapata hesabu kamili: Tanzania si rafiki wa Kenya.
Juzi tu, ujumbe wa waombolezaji kutoka Kenya uliokuwa njiani kuelekea Tanzania kuhudhuria ibada ya wafu ulirudishwa nchini katika hali isiyoeleweka vyema.
Nimesema hali isiyoeleweka vyema kwa sababu waelekezi wa safari za ndege nchini Tanzania walisema hali mbaya ya hewa haingeruhusu ndege hiyo ya Kenya kutua.
Ujumbe huo ulikusudia kumwakilisha Rais Uhuru Kenyatta katika ibada ya kumuaga aliyekuwa rais wa tatu wa Tanzania, Bw Benjamin Mkapa.
Uliongozwa na kiongozi wa wengi kwenye Bunge la Seneti, Bw Samuel Poghisio, na ulisafiri kwa mojawapo ya ndege maalumu zinatotumiwa na rais wa Kenya na watu mashuhuri. Ndege hiyo, ambayo tayari ilikuwa imevuka mpaka na kuingia Tanzania, ilinyimwa ruhusa ya kutua hivyo ikabidi irejee ilikotoka.
Katika juhudi za labda kuficha uzito wa tukio hilo, Bw Poghisio alidai ujumbe wake uliagizwa ama urejea Kenya au usubiri hewani kwa muda.
Na kwa sababu kwenye Bunge la Seneti kulipangiwa kuwa na majadiliano muhimu kuhusu ugavi wa pesa za ugatuzi, alidai Bw Poghisio, alilazimika kurejea Kenya.
Wataalamu wa masuala ya kiutawala na kidiplomasia watakwambia hakuna shughuli muhimu nchini kokote kuliko kumwakilisha kiongozi wa nchi kwenye hafla ya kimataifa.
Kikawaida, mjumbe aliyetumwa na kiongozi wa nchi hufanya kila juhudi kuhakikisha ametekeleza wajibu wake. Kisa na maana ni kwamba anaiwakilisha nchi.
Kwa kifupi tu, tunaweza kusema Tanzania iliizuia Kenya kuhudhuria ibada ya wafu ya rais wake wa tatu, Mzee Mkapa.
Hebu niseme moja kwa moja kwamba, binafsi nalitilia shaka dai hilo la hali ya hewa kuwa mbaya. Safari hiyo haikuwa ya kushtukiza; hali ya hewa inatabiriwa hata wiki mbili kabla.
Vile vile, kuna njia kadhaa za ndege kupitia ili kutua kwenye uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam.
Katika ulimwengu wa kidiplomasia, nchi ikitaka kuidharau nyingine, huwatuma wawakilishi wa ngazi ya chini kwenye hafla za nchi inayolengwa.
Nchi hiyo nayo ikishuku tu kwamba hizo ni dharau, hukazana kuidhalilisha iliyozuka na dharau, hivyo hali ikawa ya vita baridi.
Nashuku kwamba kwa upande wa Kenya, hili ni suala la tahadhari tu kuhusiana na janga la Corona, hasa ikizingatiwa kwamba Tanzania na jeuri yake imesema hakuna Corona.
Kumbuka Kenya ilipofunga mpaka wake na Tanzania, taifa hilo la Magufuli liliteta vikali na kuzuia yeyote au chochote kutoka Kenya mpaka Rais Kenyatta akalazimika kuingilia kati.
Haikosi Kenya ililazimika kumtuma Bw Poghisio na ujumbe wa watu wawili pekee badala ya Rais Uhuru Kenyatta kuhudhuria ibada hiyo na kuhatarisha maisha yake.
Hapa unatambua kuwa kuhusiana na jirani mkorofi, ni lazima uwe mwangalifu sana. Katika kisa hicho cha juzi, Kenya ilikabiliwa na hatari mbili za kumkasirisha jirani huyo: siasa za corona na maadili ya kidiplomasia.
Hatua ya pekee ambayo ingekubalika machoni pa Tanzania na Rais Magufuli ni Rais Kenyatta mwenyewe ahudhurie ibada hiyo au amtume Naibu wake, Dkt William Ruto.
Tukubaliane kwamba shughuli muhimu za nchi haziwezi kuwa kuifurahisha nchi nyingine, ndiposa naiunga mkono hatua ya Rais Kenyatta kutofika.
Hata hatua ya kutuma ujumbe Tanzania haikufaa kitu; hakuna maisha ya Mkenya ambayo yanapaswa kuhatarishwa ili tuifurahishe nchi nyingine. Tuna jirani mbaya, hebu tubuni mikakati ya kumdhibiti.

NB: TANZANIA NA WATANZANIA NI LAZIMA KUENDELEA KUWA IMARA KWA MUSTAKHABARI WA NCHI KAMA WENZETU WANAVYOSIMAMA NA NCHI ZAO.
 
Hili ni topolo lingine naomba tulipuuze kwasababu haliitakii mema nchi yetu
Nchi sio CCM mzee

Nchi sio bwana mawe

Nchi sio Abbas

Nchi sio Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja..

Nchi ni wananchi Watanzani who are loving hardworking people!

Hao niliowataja ni watu binafsi wenye akili binafsi zenye kufanya mambo ya hovyo kama mimi na wewe!

Wameona tatizo,badala ya kutatua kwa kutumia akili,wamefanya maamuzi ya chooni

Lazima tuwaseme na tu-demand answers from them,tumewapa ajira na tunawalipa!

We didnt employ them for this nonsense they are doing!

Acheni mihemko ya kipumbavu ya huko machakani Chattle,tunataka sober minds zenye kujua kucheza this economic chess!

Kaanza Kenya,watafata wengine kupiga ban,you dont have answers to all these coming tragedies!

Tunataka jawabu la kwanini wanatudanganya na korona,kwa evidences...hawana wanatuletea stori za Abbas and his minions eti "TZ hakuna corona" sababu madomo yao yanaweza funguka kutamka kitu....evidence?hakuna

Subiri anafuata SA,anakuja UG,then Rwanda,Ulaya na America ndio sahau kabisa....wait and see!
 
Blah blah blah

Vindege vya mozambique ni mavi au nini?

Mizigo ya TZ 90% inapitia Nairobi,deal with it...Ndege za mizigo unazijua?

Na Nairobi kuna facilities ku-process mizigo,sio mozambique uwanja mavi zaidi ya KIA...

Ukisikia Nairobi Airport ni regional hub uelewe hilo,nobody is joking here!

Mtalii akitoka Ulaya,ni lazima apite Nairobi ndio aje TZ,shortest.....

Ukimzungusha J'burg basi huyo mzungu atabaki SA haruki huku mavini maana SA kuna mbuga inazizunguka za TZ mara 20....

We are playing with fire here...

Hawa viazi waje na majibu sahihi na kuhakikisha we win this na sio hizi shortcuts za mavichaa walizochukua


Tushapiga ban... We baki na tathimin zako za kikanjanja..
 
47 Reactions
Reply
Back
Top Bottom