Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
Mkuu kwa hiyo ndege za Tanzania ni pamoja na Swiss air inayopitia Nairobi kuja bongo? Sina hakika Kama Kuna ndege inatua kwanza Dar then Nairobi Kisha inarudi kwaoArguments hizi nime zisikia sana ni za kijinga mno, huoni kuwa tuna mashirika mengi ya nje yana routes zake Tz na yanapitia kenya yakirudi au kwenda katika nchi mbalimbali , kitendo cha kuzuia ndege kutoka Tanzania kuingia Kenya means mashirika yote hayo hayata weza kutua Kenya yakitokea Tanzania hivyo effects ni kubwa, hatua ya serikali ni sahihi sana.