Wewe unaonaje? Wao kupiga marufuku sisi kwenda kwao ni sawa? Jino kwa jino! Diplomasia ya kinafiki haina nafasi. Wakitimua raia wa Tz tunatimua wao.Pagumui sana hapaa...!! MKAPA ndo alikuwa anaweza kumshaurii Jiwe sasa hayupooo Yani diplomasia ya kenya na tz ipo pabayaa sanaa. Ego itaua uhusiano wa hizi nchi mbilii japo wanajidai marafiki kinafiki lakini tushafikaa mbalii aiseee sasa hivi raia wa tz wataanza kutimuliwa kenya
MKAPA majirani wote hawajaja kumzika.
Kila kitu wanasingiziwa mabeberuNikisema hizi nchi mbili zote zinachezeshwa kwata la beberu nitakuwa nakosea?
Mbona KQ pekee, si mungefungia hata Jambo Jet ambayo ni mtoto 100% wa KQ, pia precision air ambayo ni 50% mtoto wa KQ? Yaani hapo hakuna kazi imefanyika ni vitisho tu. Hata mufungie KQ na Jambo Jet bado KQ itapata pesa kupitia precision airBado, hiyo ni mwanzo tu, subiri Jumatatu kuna hatua kali zingine zitafuata.
Ndio tunakoenda mkuu! Mzee hakuwa na haja ya kurudishaa wale wajumbe mbona yeye huwa haendii sasa anataka wenzake wamtukuzee kama nani.Wewe unaonaje? Wao kupiga sisi kwenda kwao ni sawa? Jino kwa jino! Diplomasia ya kinafiki haina nafasi. Wakitimua raia wa Tz tunatimua wao.
Nani ametukuzwa tena? Kenya kapiga marufuku sisi kuingia kwao na sisi tumemtandika panapouma zaidi ndege isije. What is Kenya? UAE mbona hawakupiga marufuku watu wametoa utaratibu tu upimwe uende na cheti. Jino kwa jino.Ndo tunakoenda mkuu...!! Mzee hakuwa na haja ya kurudishaa wale wajumbe mbona yeye huwa haendii sasa anataka wenzake wamtukuzee kama nani.
Hakuna ndege yoyote inayomilikiwa na Kenya iitakayoruhusiwa kuingia Tanzania, Precision air ni kampuni la Kitanzania, wakenya wamenunua hisa tu, lakini accounts zote na HQ ipo Tanzania.Mbona KQ pekee, si mungefungia hata Jambo jet ambayo ni mtoto 100% wa KQ, pia precision air ambayo ni 50% mtoto wa KQ? Yani hapo hakuna kazi imefanyika ni vitisho tu. Hata mufungie KQ na jambo jet bado KQ itapata pesa kupitia precision air.
Unajua wajumbe waliokuja kwenye msiba wa Mkapa walirudia angani???? Wangekuwa hawana mafuta ya kutosha mbona wangenyookaNani ametukuzwa tena? Kenya kapiga marufuku sisi kuingia kwao na sisi tumemtandika panapouma zaidi ndege isije. What is Kenya? UAE mbona hawakupiga marufuku watu wametoa utaratibu tu upimwe uende na cheti. Jino kwa jino.
Serikali ya Tanzania yaipiga KQ Airways kutua nchini
"Wakimwaga ugali tunamwaga mboga"
"Magufuli baba lao"View attachment 1523058View attachment 1523059
Usianzishe ugomvi wa mawe kama unaishi nyumba ya vioo.Unajua wajumbe waliokuja kwenye msiba wa Mkapa walirudia angani???? Wangekuwa hawana mafuta ya kutosha mbona wangenyooka
Amesema kojoa ulaleKwani Kabudi anasemaje?
Wewe baki na mambo yako ya kula kwa masihara. Haya yako juu yakoNdo tunakoenda mkuu...!! Mzee hakuwa na haja ya kurudishaa wale wajumbe mbona yeye huwa haendii sasa anataka wenzake wamtukuzee kama nani.