Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Msimamo anaoonyesha waziri Membe ni wa serikali yake ya kinafiki na kiuwaji akijua kabisa watu wanaweza kuwageuka kama Libya. Huyo anaogopa kuvuli anajua kabisa akishabikia next on line atakuwa ni yeye, hao maghamba wana wasiwasi!!!!!!!!!!Waziri we2 wa mambo ya nje,amekuwa akitoa matamko ya kutokuitambua selikari ya mpito ya Libya,na leo kasema haitambui.Hivi huu sio unafiki kweli ,ukizingatia Gaddafi mwenyewe kashauawa na haohao ambao hawatambui je yeye anapingana na nchi nyingi za Afrika ambazo tayari zinaitambua NTC na zote zikiwa katika umoja wa Afrika....tuelimishane jamani.Nawakilisha.