Baba Rayhaan
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 615
- 418
Vyovyote vile iwavyo, CHUKUA TAHADHARI!wangesema wazi tu,
kuwa wanaweka katazo la kuzuia movement ya katiba day.
hakuna lolote covid ni kichaka tu.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyovyote vile iwavyo, CHUKUA TAHADHARI!wangesema wazi tu,
kuwa wanaweka katazo la kuzuia movement ya katiba day.
hakuna lolote covid ni kichaka tu.!
Bado Mama anaupiga mwingi,Matanga na Sukuma gang, lazima waendelee kupata tabu 😁😁😀😃😂tulisema mda utaongea,ipo siku mtakili kuwa Magufuri alikuwa bora zaidi ya Samia.Wangekuwa seriously..
au tungeona wa maana.
wangefungia nyumba za ibada....
Mdude alisema walinyoa Magufuri mbele ya Mbowe,na Mbowe wala akukanusha wala kutengua kauli za Mdude, hivo inaonekana Chadema wanahajenda mbaya juu ya viongozi wa serikali, maana walisema wembe ulionyoa Magufuri ndio huo utakao nyoa Samia.Kutapatapa kwa CCM, wanaogopa vuguvugu la katiba mpya.
Kupumua kwao wanaona afadhali wamuweke mbowe ndani.....
Basi kama mtanange utapigwa iliyetoa Tangazo la Katazo ajipime oblangata...Mr.delta yupo tangu mechi iliyopita ya Simba na Yanga,
Waliohudhuria mechi umesikia wamekufa wangapi?
Uchuro mtupu watuache tukashangilie kivyetuvyetu. WHO wanazingua toka kitambo sisi tunaingia uwanjani na tunatoka fresh tu. Akuna mtu aliyefariki. Wasitutishe kwani delta ndo nani, Tanzania tuondokane na kuburuzwa ondoeni hofu. Wanatangaza delta kama kiama vile akati poa tuMr.delta yupo tangu mechi iliyopita ya Simba na Yanga,
Waliohudhuria mechi umesikia wamekufa wangapi?
Mkuu nilitaka kuandika hiki ulichoandika, kuna mambo mengine ni comedy.Mwenge kila siku wanakusanyika na kukesha. Hawauoni huo.
Alizuia maana alikuwa Kilimanjaro nyumbani,kwani huko kwingine ni kwake?Kwahiyo na nyinyi hamuamini kama UVIKO-19 ipo na inaua? Mkuu wenu alizuia watu wasiende kwenye msiba wa kaka yake kwa kisingizio hichohicho.
Hapo ndo UDIKTETA unapoanikwa mchana kweupe...Katiba Mpya na makongamano yake ndio mkusanyiko kulingana na akili za CCM, hilo la mpira halina threat yoyote kwao wanaacha liendelee wao wanasubiri mapato ya mlangoni tu.
Katiba Mpya na makongamano yake ndio mkusanyiko kulingana na akili za CCM, hilo la mpira halina threat yoyote kwao wanaacha liendelee wao wanasubiri mapato ya mlangoni tu.
Bila kusahau na vibanda umiza uku kwetu mitaaniKwa hiyo kule KIGOMA jumapili 25/7/2021 Yanga na Simba haitakuwepo? maana inakusanya watu wengi sana
HahahaYoung Africans kushinda mechi yake Kigoma ni dawa tosha kwa hichi ki-delta.