cmp
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,099
- 6,741
Kwahiyo watu kujazana kwenye madaladala hadi tunashindwa kupata hewa safi nako ni mkusanyiko wa lazima?mikusanyiko isiyo ya lazima, elewa hiyo lugha chief....
Ndo maana watu wanasema lengo la serikali ni kuzuia makongamano ya kudai katiba mpya sio kuzuia maambukizi maana kama serikali ingekuwa serious na maisha ya Watanzania basi ingezuia rasmi mikusanyiko yoyote au kuweka masharti makali kwenye mikusanyiko.