cavani
Member
- Jan 2, 2018
- 49
- 39
KwelKenya Rais kakata mshahara wake kwa 80% na makamu, mawaziri, wabunge wamekatwa bongo wananchi ndio wachangie kwanza kabla ya yeyote duh!
Haki ya Mungu! hata kwa bastola kwenye kichwa changu sichangii.
Sent using Jamii Forums mobile app