Serikali ya Tanzania yapiga Marufuku ndoa kufanyika bila ya vyeti vya kuzaliwa kuanzia 1/5/2017

Baada ya Makonda Kusema wakazi wa Dar es Salaam watatumia Credit cards kununulia Fungu la Dagaa Mchele Mwakyembe amekuja na Hilo.

View attachment 482068

======

MOROGORO

SERIKALI imepiga marufuku watu kufunga ndoa bila kuwa na cheti cha kuzaliwa kuanzia Mei Mosi, mwaka huu.

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Harrison Mwakyembe amesema hayo leo akiwa katika ziara yake mkoani hapa na kuongeza kuwa serikali imeamua kufanya hivyo ili kupata takwimu sahihi za wananchi wake zitakazosaidia kupanga mipango ya kimaendeleo sanjari na kuzuia wageni kuingia kinyemela nchini.

Pamoja na mambo mengine, Dk.Mwakyembe amewataka Wakala wa Usajili wa vizazi na Vifo (RITA), kuhakikisha inasimamia sheria ya usajili ambapo amesema kuwa bila kuwa na takwimu sahihi za vizazi na vifo ama ndoa inasababisha nchi kushindwa kusonga mbele kimaendeleo.

“Wenzetu nchi zilizoendelea suala la usajili wamelipa kipaumbele lakini sisi bado tuko nyuma, kwa mfano Mkoa wa Morogoro kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, inaonyesha kuna jumla ya wakazi milioni 2.2, lakini waliosajiliwa na kuwa na vyeti vya kuzaliwa ni asilimia 11 pekee huku wengine wakiwa bado hawasajiliwa,” amesema.

Dk. Mwakyembe pia ametumia nafasi hiyo kuwaonya watendaji wa mahakama watakaolalamikiwa na wananchi kufanya kazi kinyume na maadili ikiwamo upokeaji wa rushwa ama kutotenda haki na kutumia mahakama kugeuza kesi za madai kuwa kesi za jinai.

Chanzo: Mtanzania
Baby utanioa lini? Sina cheti cha kuzaliwa baby. Ahsante sana serekali ya awam ya tano
 
Hilo wazo kwa ujumla wake si baya hata kidogo.

Kama ni changamoto, sawa nakubali zipo.

Lakini uwepo wa changamoto hakulifanyi hilo wazo kuwa ni bovu.
Nadhani Magufuli amekata mzizi wa fitina ndio ujuwe huyu Mwakyembe Polonium imeshapanda kwenye ubongo, Mungu amrehemu tu.
 
Mi naona sawa tu sababu ni njia mojawapo ya kuwatambua wasiokuwa wazawa..alaf we kama umezaliwa kijijini sijui mbali kiasi gani inabidi kabla hujaolewa au kuoa kwanza tutambue uraia wako.
 
Baada ya Makonda Kusema wakazi wa Dar es Salaam watatumia Credit cards kununulia Fungu la Dagaa Mchele Mwakyembe amekuja na Hilo.

View attachment 482068

======

MOROGORO

SERIKALI imepiga marufuku watu kufunga ndoa bila kuwa na cheti cha kuzaliwa kuanzia Mei Mosi, mwaka huu.

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Harrison Mwakyembe amesema hayo leo akiwa katika ziara yake mkoani hapa na kuongeza kuwa serikali imeamua kufanya hivyo ili kupata takwimu sahihi za wananchi wake zitakazosaidia kupanga mipango ya kimaendeleo sanjari na kuzuia wageni kuingia kinyemela nchini.

Pamoja na mambo mengine, Dk.Mwakyembe amewataka Wakala wa Usajili wa vizazi na Vifo (RITA), kuhakikisha inasimamia sheria ya usajili ambapo amesema kuwa bila kuwa na takwimu sahihi za vizazi na vifo ama ndoa inasababisha nchi kushindwa kusonga mbele kimaendeleo.

“Wenzetu nchi zilizoendelea suala la usajili wamelipa kipaumbele lakini sisi bado tuko nyuma, kwa mfano Mkoa wa Morogoro kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, inaonyesha kuna jumla ya wakazi milioni 2.2, lakini waliosajiliwa na kuwa na vyeti vya kuzaliwa ni asilimia 11 pekee huku wengine wakiwa bado hawasajiliwa,” amesema.

Dk. Mwakyembe pia ametumia nafasi hiyo kuwaonya watendaji wa mahakama watakaolalamikiwa na wananchi kufanya kazi kinyume na maadili ikiwamo upokeaji wa rushwa ama kutotenda haki na kutumia mahakama kugeuza kesi za madai kuwa kesi za jinai.

Chanzo: Mtanzania
Magufuli keshakataa hilo mbona mko nyuma sana nyiyinyi yani basi tu ionekane serikali mbovu.
 
Baada ya Makonda Kusema wakazi wa Dar es Salaam watatumia Credit cards kununulia Fungu la Dagaa Mchele Mwakyembe amekuja na Hilo.

View attachment 482068

======

MOROGORO

SERIKALI imepiga marufuku watu kufunga ndoa bila kuwa na cheti cha kuzaliwa kuanzia Mei Mosi, mwaka huu.

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Harrison Mwakyembe amesema hayo leo akiwa katika ziara yake mkoani hapa na kuongeza kuwa serikali imeamua kufanya hivyo ili kupata takwimu sahihi za wananchi wake zitakazosaidia kupanga mipango ya kimaendeleo sanjari na kuzuia wageni kuingia kinyemela nchini.

Pamoja na mambo mengine, Dk.Mwakyembe amewataka Wakala wa Usajili wa vizazi na Vifo (RITA), kuhakikisha inasimamia sheria ya usajili ambapo amesema kuwa bila kuwa na takwimu sahihi za vizazi na vifo ama ndoa inasababisha nchi kushindwa kusonga mbele kimaendeleo.

“Wenzetu nchi zilizoendelea suala la usajili wamelipa kipaumbele lakini sisi bado tuko nyuma, kwa mfano Mkoa wa Morogoro kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, inaonyesha kuna jumla ya wakazi milioni 2.2, lakini waliosajiliwa na kuwa na vyeti vya kuzaliwa ni asilimia 11 pekee huku wengine wakiwa bado hawasajiliwa,” amesema.

Dk. Mwakyembe pia ametumia nafasi hiyo kuwaonya watendaji wa mahakama watakaolalamikiwa na wananchi kufanya kazi kinyume na maadili ikiwamo upokeaji wa rushwa ama kutotenda haki na kutumia mahakama kugeuza kesi za madai kuwa kesi za jinai.

Chanzo: Mtanzania
70b3b895b5472c0d68d5c66102907cfb.jpg
 
RAIS DKT MAGUFULI AFUTA AGIZO LA KUFUNGA NDOA KWA SHARTI LA KUWA NA CHETI CHA KUZALIWA
 
Kama kumekuwa na tofauti namna hii. Mwakyembe akiwa waziri anayesimamia sheria, anatoa tamko bila bosi wake kujua ina maana hajajua serikali inavyoendeshwa. Ni wazi ameshindwa kumshauri Rais. Ajiuzulu bila kufukuzwa. Hata akiachwa hapo, amekosa credibility ya kuongoza wizara hiyo. Pole Mwakyembe.
Makosa hayo yangefanya na Mkurugenzi Mkuu wa RITA nisingeshangaa.
 
Baada ya Makonda Kusema wakazi wa Dar es Salaam watatumia Credit cards kununulia Fungu la Dagaa Mchele Mwakyembe amekuja na Hilo.

View attachment 482068

======

MOROGORO

SERIKALI imepiga marufuku watu kufunga ndoa bila kuwa na cheti cha kuzaliwa kuanzia Mei Mosi, mwaka huu.

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Harrison Mwakyembe amesema hayo leo akiwa katika ziara yake mkoani hapa na kuongeza kuwa serikali imeamua kufanya hivyo ili kupata takwimu sahihi za wananchi wake zitakazosaidia kupanga mipango ya kimaendeleo sanjari na kuzuia wageni kuingia kinyemela nchini.

Pamoja na mambo mengine, Dk.Mwakyembe amewataka Wakala wa Usajili wa vizazi na Vifo (RITA), kuhakikisha inasimamia sheria ya usajili ambapo amesema kuwa bila kuwa na takwimu sahihi za vizazi na vifo ama ndoa inasababisha nchi kushindwa kusonga mbele kimaendeleo.

“Wenzetu nchi zilizoendelea suala la usajili wamelipa kipaumbele lakini sisi bado tuko nyuma, kwa mfano Mkoa wa Morogoro kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, inaonyesha kuna jumla ya wakazi milioni 2.2, lakini waliosajiliwa na kuwa na vyeti vya kuzaliwa ni asilimia 11 pekee huku wengine wakiwa bado hawasajiliwa,” amesema.

Dk. Mwakyembe pia ametumia nafasi hiyo kuwaonya watendaji wa mahakama watakaolalamikiwa na wananchi kufanya kazi kinyume na maadili ikiwamo upokeaji wa rushwa ama kutotenda haki na kutumia mahakama kugeuza kesi za madai kuwa kesi za jinai.

Chanzo: Mtanzania
 
Kama kumekuwa na tofauti namna hii. Mwakyembe akiwa waziri anayesimamia sheria, anatoa tamko bila bosi wake kujua na ajajua maana ya serikali ni wazi ameshindwa kumshauri rais. ajiuzulu bila kufukuzwa. Hata akiachwa hapo, amekosa credibility ya kuongoza wizara hiyo. Pole Mwakyembe.
Mungu nisamehe lkn magonjwa mengine yakimpata binadamu yanamharibu mpaka ubongo. Mwakyembe umekuwa waziri wa sheria ovyo kuliko mawaziri wote tangu tupate Uhuru!!!! Yaani bora Lyatonga awe waziri wa sheria kuliko wewe.
OMBI: Mh. Rais toa Mwakyembe tuwekee Mbunge wa Mtera. Bora Kibajaji kuliko Dr. asiyejitambua.
 
Sisi Wakatoliki,wafausi wa Vatican,cheti cha ubatizo kina nguvu sana kuliko cheti cha kuzaliwa.
Ndio kusema,kabla ya ndoa,lazima uwe umepitia na kupata sacramento nyingine za msingi kama ubatizo,kumunio ya kwanza na Kipaimara...Maana kwetu tuna imani huwezi kubatizwa kama hujawahi kuzaliwa.

Na kwetu wakatoliki,kuzaliwa mara ya pili kwa njia ya ubatizo,ni muhimu zaidi,maana kama kuzaliwa mara ya kwanza,kila mtu huzaliwa.

Vyeti vya kuzaliwa vinapatikana hata K'koo ule mtaa wa mabingwa wa kufoji nyaraka,lakini cha ubatizo ambacho ndio muhimu,hupatikana kwa maji na hatua tatu za ukatukumeni.

Huyu sumu ya polium ilienda na akili zake zote!!Mkatoliki aliyefoji umri ukitaka umkamate,muombe cheti cha ubatizo,au tembelea parokia alikobatiziwa!!Niliwahi kutembelea parokia ya Rubya huko Kagera kuna daftari la kumbukumbu ya wabatizwa la toka mwaka 1918
Hapo kwenye hiyo sumu iliyoondoka na akili zake nimecheka mpaka mke wangu kaamka maana naye hana cheti cha kuzaliwa.
 
Baada ya Makonda Kusema wakazi wa Dar es Salaam watatumia Credit cards kununulia Fungu la Dagaa Mchele Mwakyembe amekuja na Hilo.

View attachment 482068

======

MOROGORO

SERIKALI imepiga marufuku watu kufunga ndoa bila kuwa na cheti cha kuzaliwa kuanzia Mei Mosi, mwaka huu.

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Harrison Mwakyembe amesema hayo leo akiwa katika ziara yake mkoani hapa na kuongeza kuwa serikali imeamua kufanya hivyo ili kupata takwimu sahihi za wananchi wake zitakazosaidia kupanga mipango ya kimaendeleo sanjari na kuzuia wageni kuingia kinyemela nchini.

Pamoja na mambo mengine, Dk.Mwakyembe amewataka Wakala wa Usajili wa vizazi na Vifo (RITA), kuhakikisha inasimamia sheria ya usajili ambapo amesema kuwa bila kuwa na takwimu sahihi za vizazi na vifo ama ndoa inasababisha nchi kushindwa kusonga mbele kimaendeleo.

“Wenzetu nchi zilizoendelea suala la usajili wamelipa kipaumbele lakini sisi bado tuko nyuma, kwa mfano Mkoa wa Morogoro kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, inaonyesha kuna jumla ya wakazi milioni 2.2, lakini waliosajiliwa na kuwa na vyeti vya kuzaliwa ni asilimia 11 pekee huku wengine wakiwa bado hawasajiliwa,” amesema.

Dk. Mwakyembe pia ametumia nafasi hiyo kuwaonya watendaji wa mahakama watakaolalamikiwa na wananchi kufanya kazi kinyume na maadili ikiwamo upokeaji wa rushwa ama kutotenda haki na kutumia mahakama kugeuza kesi za madai kuwa kesi za jinai.

Chanzo: Mtanzania
HUYU ALIYETAMKA HILI ,UPEO WAKE WA KUFIKIRI NAHISI UMEFIKA MWISHO. AACHIE HIYO NAFASI
 
Huyu mwakyembe sijui kazeeka au ana pressure ya kupata attention, hivi mtu cheti cha kuzaliwa kikiungua au kupotea hapo si hutaoa, hana utofauti na mwenzie aliesema mtoto wa chini ya 18 akipewa mimba mzazi afungwe Walahi hio sheria ingepita ningeanza na mtoto wake:):):)
 
leo asubuhi sizonje kabla hajaanza safari ya kurudi mzizima, amefutilia mbali hili agizo anasema nae limemshangaza sana. kwa hyo inamaana kuwa wasaidizi wa sizonje wanafanya maamuzi kwa kukurupuka au ndo kusema kwamba kila waziri anaetaka kutangaza au kufanya maamuzi lazima atoe taarifa kwa mkuu wa nyumba a.k.a sizonje
 
There is a difference between thinking and reasoning...i think he was just thinking and he is becoming irrational.
 
Back
Top Bottom