Euphransia
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 937
- 778
Mwakyembe Mwakyembe msomi, Waziri wa Sheria , mbunge wa kyela hivi Waziri wangu unauhakika gani kuwa Serikali yako ilikwisha to a vyeti vya kuzaliwa Kwa RAIA wake wote ?
Anaejua wapi tunako elekea naomba msaada anifahamishe.
Wanasiasa wanapayuka wanazuoni wanaandikaWana jf naimani hii hbr ya waziri wa sheria na katiba mh mwakyembe ya kutaka wanaofunga ndoa wote kuanzia mei mosi mwaka kuwa na vyeti vya kuzaliwa. Kimsingi binafsi nafaham umuhim wa kuwa na cheti cha kuzaliwa hasa katk mambo kama ya kutafuta ajira kuhitajika kwenye taasis za elimu. Sasa sijaelewa uhusiano uliopo kati ya kuoa/kuolewa na ulazima wa kuwa na cheti cha kuzaliwa kwa nni wasiseme tu kwamba kila mtanzania ni lazima awe na cheti cha kuzaliwa? Wenye ufahamu tafadhali mtusaidie
Takwimu sahihi ya watanzania wangapi wameolewa/oa au oana?!!Ushaambiwa kupata takwimu sahihi!
Sidhani kama sheria inayosimamia mwaswala ya ndoa inampa waziri wa sheria na katiba mamlaka hayo. Angataja vifungu vinavyompa mamlaka hayo.Haya matamshi yana nguvu ya kisheria?!
I sadi it!Wakati mwingine wanasiasa wananishangaza.
Huwa wamekaa huko juu na kusahau kabisa waliko toka.
Tamko hili la Waziri wa Sheria na Katiba Dr Harrison Mwakyembe, kuwa watu wasifunge ndoa hadi waonyeshe vyeti vya ndoa, kwa kweli limetia fora.
Tukimvhukua Mwakyembe alikotoka, Kyela, nina uhakika yeye mwenyewe ana ndugu ambao licha ya kutojua haswa tarehe ya kuzaliwa , hawana kabisa vyeti vya kuzaliwa.
Sababu kubwa kama ilivyo kwa wananchi wengi wa vijijini, ni kuzalishwa na wakunga wa jadi.
Na hao wakunga hawatoi vyeti vya kuzaliwa!
Kazi kwako !
Utaonaje wewe kipofu.Mwambie kipofu mwenzako azuie mkuu wa mkoa kuongoza bila kuwa na cheti halali.Hilo ni jambo zuri tu.
Sioni tatizo kabisa hapo.
Kuzuia Ubashitebashite kwa siku zijazo! Ubashitebashite uliopo sasa unaolindwa kwa mtutu uwe wa mwisho!Kasema hivyo kwa nini? Lengo ni nini??