Serikali ya Tanzania yakopa tsh billion 360

Dec 11, 2016
88
124
96f5e1e5cfd0a15ec9dd96c2936f7df9.jpg
 
mkuu wa nchi atengue kauli tena ikibidi atuombe msamaha watanzania alitamka kwa mdomo wake kuwa nchi hii hatuwezi kukopa kwani tunavyanzo vingi vya kuliingizia taifa kipato ikiwemo kubana matumizi,watumishi hewa n.k leo tena anatutia aibu miaka hata miwili haijapita kavuta bilion 360.....
Napata wasiwasi kama angekuwa kiongozi mwingne nadhani angeachishwa kazi kwa upepo wa huyu shah..
 
HIVI DENI LA TAIFA SAHIVI LIMEFIKIA KIASI GANI?NINGEPENDA KUFAHAMU..

OVA
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom