Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,980
- 103,354
Hapo sasa, tunaambiwa mradi wa SG utazalisha 2,115mg, yaani tutakuwa na ziada ya umeme maradufu. Sasa hii mikopo ya umeme mwingine ni ili iweje? Utapeli mwingine bana ni hatari kabisa.Kwani huu wa Rufiji hautoshi?