HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,364
- 94,543
Mnapokomenti muwe mnaandika ukweli nyie...Unajuwa msimu mwingine unaanza kuandaliwa..!!Yote kheri,cha msingi serikali ihakikishe wakulima hawapati usumbufu kabla ya msimu mwingine kuwadia
Sent using Jamii Forums mobile app
Msimu unaanza lini mkuu?Mnapokomenti muwe mnaandika ukweli nyie...Unajuwa msimu mwingine unaanza kuandaliwa..!!
Kuuza kuaanza mwezi wa 9 hadi wa 10... Lakini before that kuna kuandaa mashamba... HII INAHITAJI HELA NA WENGINE MPAKA SASA HAWAJALIPWAMsimu unaanza lini mkuu?