Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,318
- 8,229
Chuo cha UDSM ambacho ndio cha kwanza hapa Tanzania kwa ubora wa elimu kimeshika nafasi ya 42 kati ya vyuo vyote vya Afrika.
Kama UDSM kimeshika nafasi ya 42 kiafrika na ndio cha kwanza kwenye ubora Tanzania. Vyuo vinavyobakia hata kwenye list havimo. Havimo kabisa.
Hivyo ni dhahiri elimu yetu sio kitu tena. Inadidimia na yote hayo kuendekeza siasa kwenye mambo ya elimu. Hii ni aibu it means viongozi wanafeli those way performance ni very low.
Kama UDSM kimeshika nafasi ya 42 kiafrika na ndio cha kwanza kwenye ubora Tanzania. Vyuo vinavyobakia hata kwenye list havimo. Havimo kabisa.
Hivyo ni dhahiri elimu yetu sio kitu tena. Inadidimia na yote hayo kuendekeza siasa kwenye mambo ya elimu. Hii ni aibu it means viongozi wanafeli those way performance ni very low.
Africa | Ranking Web of Universities: Webometrics ranks 30000 institutions
www.webometrics.info