This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,903
- 4,979
Unapotaka mtu ajifunze mweleze una kasoro hii au ile sasa unamkosoa bila kumweleza kwa uwazi akajua tatizo nawe pia unakuwa walewale.kuna kaugonjwa ka kukIla umakini kwenye uandikaji wa barua au taarifa za serekali, as epitomized by zile za Msigwa wa ikulu ambazo zinakuwa na so many silly mistakes.
hata hii nayo ni hivyo hivyo... kama huja notice at least one shortcoming kwenye hii barua basi nawe ni wale wale tu!