GANG MO
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,087
- 2,193
Watumishi wa wizara ya nishati, madini,ujenzi ,miundombinu na usafirishaji, ajira zake mbona hazijatajwa au hakuna wahitimu wa hizo kozi? Au Hakuna uhitaji wa kazi hizo?
Wewe ndo serikali. Serikali ikifanya vizuri tupongeze jamaniMagu kapewa nchi safi kabisa, haina majanga lakini katepeta.
Sasa Imeingia Corona ndio kabisaa.
Mwaka 2019 hakuajiri kabisa na hakuwa na majanga, ataajiri vipi mwaka huu wakati anahonga watu ashinde uchaguzi