msani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 1,801
- 1,191
Ni jambo la hatari sana kufikia hatua wananchi wanashindwa kuiamini serikali iliyopo madarakani,na hii sasa inaonesha kuzoeleka katika nchi ya Tanzania ambapo sio vyepesi kuamini kinachoelezwa kwa umaa kama taarifa.
Tukio la N/W Malima kuibiwa vifaa huko morogoro huku akiwa ameenda kuangalia tv sebuleni(sijui chumbani hakukuwa na tv na gharama yote hiyo ya chumba) alieleza mwenyewe akihojiwa na waandishi wa hbr juu ya wizi huo.
Malima:
"wameiba laptop 2 na pesa na baadhi ya vitu kwenye begi. lakini cha kushangaza hawa wezi hawakuchukua bastola na bunduki yangu yangu yangu ya smg ambapo ingekuwa mtaji mzuri sana huko mitaani"
hiyo hapo ilikuwa ni taarifa ya aliyeibiwa na ambaye ndiye mmiliki wa hivyo vitu na ndiye anayevijua vizuri vitu vyake,lakini taarifa ya kamanda wa polisi ni hii hapa
"KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Adolphina Chialo amesema kuwa aliyemwibia Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Adam Malima vitu mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya Sh23.25 milioni katika hoteli ya Nashera mkoani Morogoro sio mwanamke.
Kamanda huyo alisema mtuhumiwa aliyekamatwa na polisi alipohojiwa alieleza kuwa vitu alivyoiba alivihifadhi nyumbani kwa mama yake mdogo na kwamba waziri Malima hakuwa na bunduki aina ya SMG, kama inavyodaiwa na baadhi ya watu."........
sasa nani mkweli hapo au malima alikurupuka kuongea na sasa anajaribu kusafishwa kama ilivyo kawaida?
Kuamini unachoambiwa hapa Tanzania inakubidi uwe mwendawazimu
Tukio la N/W Malima kuibiwa vifaa huko morogoro huku akiwa ameenda kuangalia tv sebuleni(sijui chumbani hakukuwa na tv na gharama yote hiyo ya chumba) alieleza mwenyewe akihojiwa na waandishi wa hbr juu ya wizi huo.
Malima:
"wameiba laptop 2 na pesa na baadhi ya vitu kwenye begi. lakini cha kushangaza hawa wezi hawakuchukua bastola na bunduki yangu yangu yangu ya smg ambapo ingekuwa mtaji mzuri sana huko mitaani"
hiyo hapo ilikuwa ni taarifa ya aliyeibiwa na ambaye ndiye mmiliki wa hivyo vitu na ndiye anayevijua vizuri vitu vyake,lakini taarifa ya kamanda wa polisi ni hii hapa
"KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Adolphina Chialo amesema kuwa aliyemwibia Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Adam Malima vitu mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya Sh23.25 milioni katika hoteli ya Nashera mkoani Morogoro sio mwanamke.
Kamanda huyo alisema mtuhumiwa aliyekamatwa na polisi alipohojiwa alieleza kuwa vitu alivyoiba alivihifadhi nyumbani kwa mama yake mdogo na kwamba waziri Malima hakuwa na bunduki aina ya SMG, kama inavyodaiwa na baadhi ya watu."........
sasa nani mkweli hapo au malima alikurupuka kuongea na sasa anajaribu kusafishwa kama ilivyo kawaida?
Kuamini unachoambiwa hapa Tanzania inakubidi uwe mwendawazimu