Serikali ya Tanzania imeshindwa kuajiri watumishi wa Afya, imekuja na mbinu za kilaghai

WAPO WALE COVID 19.NDUGAI/HALIMA GANG VERY DANGEROUS. NI UHUJUMU UCHUMI WA WAZI WAZI
 
Sera ya ajira Tz imetungwa na wanasiasa ili kuwasaidia wanasiasa ..jiulize eti mama makinda amefanya kazi kila aina toka miaka ya 70's, akastaafu lakini eti leo kawa kamishna wa sensa kitaifa wakati kuna waliosomea takwimu wana masters zao na hawana kazi. Nchi ya wenye pesa hii wanyonge kausheni kwanza
umeongea kwa uchungu sana, kunywa maji mwanangu. {in Kinana's voice}
 
kama una ndugu yako ni amegraduate mwambie aende kwenye hii program!ujue ndio mfumo upya wa ajira!!!
Aisee hii Program Inaanzaa Lini kunaa ndugu Yangu ame graduate mwaka huu anatakaa Kujuaa inaanza Linii Ili aendee Kwenye hii program Ya Kujitoleaa
 
Wanaopewa mishahara mikibwaaa ipunguzwe ili fedha itumike kuajiri na wengine.
ukisema hivyo wakakusikia wanakuita kamati ya maadili, nchi ni masikini ila bungeni kuna wabunge wa viti maalumu zaidi ya 100, kwann wasingerwkebisha baadhi ya vipengele ili kuondoa hivi vyeo visivyo na tija?
 
Jamani jamani mnamwambia Dr ajitolee kwenye miili ya binadam kweli Tz tunakokwenda hakueleweki.Kama ndio hivyo basi MD hamtawapata wote watakimbilia nchi nyingine zenye uhitaji mkubwa wa MD .Hapa Tz tutabaki na AMO sijui wanaitwa hao wenye advance medical officers.Chonde chonde Gwajigirl sisi tunaotibiwa hatuijaji kutibiwa na MD wanaoitoleo ni hatari ujue
 
Jamani jamani mnamwambia Dr ajitolee kwenye miili ya binadam kweli Tz tunakokwenda hakueleweki.Kama ndio hivyo basi MD hamtawapata wote watakimbilia nchi nyingine zenye uhitaji mkubwa wa MD .Hapa Tz tutabaki na AMO sijui wanaitwa hao wenye advance medical officers.Chonde chonde Gwajigirl sisi tunaotibiwa hatuijaji kutibiwa na MD wanaoitoleo ni hatari ujue
yai ni shida asee
 
Kujitolea ni muhimu kwa fresh graduate na kipaumbele Cha ajira kitolewe kwa waliojitolea
 
mambo yamekua mazitokupita kiasi, mpaka sasa vituo vya afya vilivyopo havina watumishi wa kutosha achilia mbali zile zahanati za vijijini ambazo unakuta zina muhudumu mmoja mmoja akipata dharula anafunga kituo.

sasa vituo vingi vimejengwa na vinaenda kukamilika Rasilimali watu hakuna.

serikali imeamua ije na mbinu za kilaghai kuwalaghai wanafunzi wanaograduate wakajitolee na wajesabike kwa kusaini mikataba kabisa kwa ujira mdogo sana wa pesa ya kubrashia viatu na kununulia vitafunwa vya chai.

huu ni unyonyaji, tuliwaambia CCM haina pumzi tena wamekalia kulipa mishahara watu kama polepole na bashiru ambao hawana kazi yoyote wanayofanya eti mbunge wa kuteuliwa na Rais.

vyeo hewa vimejana serikalini wakati huduma za msingi na muhimu wananchi wanakosa.

mmeamua kutumia cheap labour kwa nguvu zote ili muwape tu posho ya kununulia vitafunwa?

naomba kuuliza hawa volunteer watapewa na mda wa kutosha kutafuta ridhiki sehemu nyngine? maana ni ngumu mtu anafamilia kuendesha maisha kwa posho ya kujitolea.

View attachment 1940307
View attachment 1940312
Hii si bora kuwa dereva bajaji au bodaboda, why Kama vipi wasiunde vikundi mkawawezesha, hii kitu gani sasa
 
Back
Top Bottom