Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,485
- 215,327
Unyama wa serikali ya awamu ya 5 ulijumuisha hadi wizi wa mifugo ya nchi jirani kwa kisingizio cha kuvuka mpaka.
Mifugo kutoka Rwanda na Uganda ilitaifishwa baada ya kuvuka mpaka na kuingia kwenye mapori ya Tanzania, badala ya kurejeshwa zilikotoka viongozi wa Tanzania wakaamua kuzipora na bila shaka waligawana, maana mifugo ile haionekani popote.
Natoa wito kwa viongozi wa Tanzania wa sasa kuwalipa fidia wale wote walioporwa mifugo yao kutoka Uganda na Rwanda ili kurejesha mshikamano uliovurugwa na jiwe.
Mifugo kutoka Rwanda na Uganda ilitaifishwa baada ya kuvuka mpaka na kuingia kwenye mapori ya Tanzania, badala ya kurejeshwa zilikotoka viongozi wa Tanzania wakaamua kuzipora na bila shaka waligawana, maana mifugo ile haionekani popote.
Natoa wito kwa viongozi wa Tanzania wa sasa kuwalipa fidia wale wote walioporwa mifugo yao kutoka Uganda na Rwanda ili kurejesha mshikamano uliovurugwa na jiwe.