mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,777
- 6,454
Wa Tanzangiza kazi ninkubangua Koroshow na kupiga mawe hawawezi patikana mahala Kama happy kwa Twitter...bure kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahau hilo.Kiswahili already wanaongea. Sasa imebaki kuwabatiza ukristo. By the time we are done with them watakua wakichapa injili proper.
Huyu jamaa Joto la Kike mimi huwa nasema ni sadist ,psychopath and sociopath .Nyuzi zake zote ni za kuitakia Kenya mabaya ,kuitakia giza na kifo. Only a psycopath can think and act like you.Hili sio jambo la kupuuza, uhusiano kati ya Serikali ya Somalia inayoungwa mkono na Jumuiya ya kimataifa, AU na Ethiopia imetangaza rasmi kupitia Waziri wake kwamba KDF ni adui wa Somalia.Nation - Breaking News, Kenya, Africa, Politics, Business, Sports | HOME
Nation.Africa brings the Latest News from Kenya, Africa and the World. Get live news and latest stories from Politics, Business, Technology, Sports and more.www.nation.co.ke
Hii ni hatari sana kwa usalama wa Kenya ambao tayari ni mbaya sana, hasa hasa baada ya KDF kujipeleka Somalia kichwa kichwa kuisadia serikali hiyo hiyo ya Somalia ambayo Leo inawaona KDF kuwa ni adui yao.
Lengo langu ni kujaribu kuwaonyesha maeneo ambayo mnahitaji kujirekebisha ili muweze kuishi maisha yenye uhalisia.Huyu jamaa Joto la Kike mimi huwa nasema ni sadist ,psychopath and sociopath .Nyuzi zake zote ni za kuitakia Kenya mabaya ,kuitakia giza na kifo. Only a psycopath can think and act like you.
Wanaishi maisha ya drama afu wabishi.sisi yetu macho ao kina Jenerose waanze kufanya mazoezi ya kutafuta pumzi.Alshabab hawajawahi niangushaLengo langu ni kujaribu kuwaonyesha maeneo ambayo mnahitaji kujirekebisha ili muweze kuishi maisha yenye uhalisia.
Kenya mpo na shida ya kuishi maisha ya nadharia zaidi, mnatengeneza picha kuonyesha kwamba kila kitu kwenu kipo vizuri, matokeo yake Kenya inazidi kupoteza "direction" katika kila eneo.
InshallahKiswahili already wanaongea. Sasa imebaki kuwabatiza ukristo. By the time we are done with them watakua wakichapa injili proper.
People who know little are usually great talkers, while men who know much say little.Wanaishi maisha ya drama afu wabishi.sisi yetu macho ao kina Jenerose waanze kufanya mazoezi ya kutafuta pumzi.Alshabab hawajawahi niangusha
Mwambie akadhibiti mauaji ya albinos na watoto wadogo huko kwao. He should first remove the log from his own eye, and then he can see clearly to remove the speck of chaff that is in his brother's eyeHuyu jamaa Joto la Kike mimi huwa nasema ni sadist ,psychopath and sociopath .Nyuzi zake zote ni za kuitakia Kenya mabaya ,kuitakia giza na kifo. Only a psycopath can think and act like you.
Ndo maana munashambuliwa na magaidi, wote nyie munatumia mbinu za kijinga sana kupigana vita.Hamjawahi kupigana vita vya kigaidi, ile mmezoea ni wanamgambo wa kina M23 ambao ukiua walili hamsini wanakimbia..... Kule Somalia wanakuanzia na magari VBIED yanakuja yakiwa yamepakia mabumu yanalipuka hapo kwa mlango au fence, alafu first wave wanakuja kama mia tatu wamejipanga kwa laini za watu hamsini hamsini, gaidi wa mbele ndo ako na bunduki, ukimuua alie nyuma yake anaokota bunduki na kuendelea kusonga mbele, wanaendelea hivyo mpaka wafike karibu nawe alafu wanaanzza kujilipua kama wendawazimu!!! Baada ya kama dakika 15 mnakua mmepepeta maadui karibu wote lakini risasi zimeisha , ukifikiri vita vimeisha, kumbe kuna second wave nyengine magaidi kama 500 wanamiminika kutoka kila upande!
Alafu kwa kutega mabomu hata ndo usiulize, Bomu linapasua hadi vifaru na magari mengine ya kivita ambayo yanafaa kustahimili milipuka ya aina hio...
Unasifu hizi dini as if watu hawawezi badilika,Sahau hilo.
Wale utawaambukiza vyote ila sio dini.
Na ukiwaingilia kwenye dini umejitaftia uadui nao mind you Benadir is not a kalenjin.
Nyie mtu munanifanya ni chekeKiswahili already wanaongea. Sasa imebaki kuwabatiza ukristo. By the time we are done with them watakua wakichapa injili proper.
Nimekusikia, ila nafsi yangu inanisuta, ziwezi kukujibu. Hahahaha, hahahaha.Mwambie akadhibiti mauaji ya albinos na watoto wadogo huko kwao. He should first remove the log from his own eye, and then he can see clearly to remove the speck of chaff that is in his brother's eye
Mimi nazungumzia mindset za somalians buddah.Unasifu hizi dini as if watu hawawezi badilika,
Iyo dini yao ndio chance cha kuharibika Kwa serikali yao 1991.
Fake religions
Lol.. Unaogopa kutongozwa------na Mimi?Nimekusikia, ila nafsi yangu inanisuta, ziwezi kukujibu. Hahahaha, hahahaha.
Wako hapa Kenya tunawajua vizuri. Walikuja wakisema hawawezi oana na wakenya lakini sikuizi tunakanyaga Kama gunia and a number of them wameokokaThen and NowSahau hilo.
Wale utawaambukiza vyote ila sio dini.
Na ukiwaingilia kwenye dini umejitaftia uadui nao mind you Benadir is not a kalenjin.
Asa msomali anayeishi Kenya unamhesabia msomali??!!!!!!Wako hapa Kenya tunawajua vizuri. Walikuja wakisema hawawezi oana na wakenya lakini sikuizi tunakanyaga Kama gunia and a number of them wameokokaThen and NowView attachment 1195382View attachment 1195383
Amina abdi is not a Somali , but a borana.Wako hapa Kenya tunawajua vizuri. Walikuja wakisema hawawezi oana na wakenya lakini sikuizi tunakanyaga Kama gunia and a number of them wameokokaThen and NowView attachment 1195382View attachment 1195383
Si utueneshe hizo mbinu za werevu basiNdo maana munashambuliwa na magaidi, wote nyie munatumia mbinu za kijinga sana kupigana vita.
Eti vita ni vita!!!Mmmh bro ht km hatujawahi pigana na magaidi ila vita ni vita.
Chukulia mfano wale wana mapinduzi wa Comoros walikua wanajeshi walotaka kumpindua kiongozi wao ila JWTZ ikawazima.
Hamna uzoefu wowote wa kupambana na magaidi, hapo hata usijaribu kujiweka kwa hesabu, nyinyimkiingia kule itakua ni vicheko kila siku..Kwanini Ethiopia au Uganda ambao walitangulia kwenda Somalia, kambi zao hazishambuliwi na kuuliwa hovyo kama KDF?, jibu lipo wazi kwamba KDF hawana uzoefu wowote wa vita, hii ndio Mara yao ya kwanza kupigana vita, wakati Uganda wamepigana vita ndani ya DRC na South Sudan, wakati Ethiopia wamepigana na Eretria.
Tanzania tumepigana huko Msumbiji, Zimbabwe, Namibia na South Africa, Uganda na DRC. Tunajua jinsi ya kujipanga, KDF wakikabiliana na Ethiopia army ndani ya ardhi ya Somalia, vita inaisha ndani ya wiki moja.