Serikali ya Somalia Yakataa Kupokea Dola Milioni 80 Iliivunje Mahusiano na Qatar

Bowie

JF-Expert Member
Sep 17, 2016
4,372
6,078
Gazeti la Middle East Monitor limeandika Rais wa Somalia amekataa kupokea dola milioni 80 za kimarekani kutoka Saudi Arabia ili nchi hiyo ya Somalia ijiunge na muungano wa nchi za kiarabu katika kuisusia Qatar.
Serikali ya Somalia imesema haitaunga mkono upande wowote kwenye mgogoro huu, shirika la ndege la Qatar limeruhusiwa kutumia anga ya Somalia
wakati nchi zingine zimezuia ndege kuruka kwenye anga zao
Saud Arabia inajaribu kutumia pesa kuhimiza mataifa mengine kususia nchi ya Qatar.
 
Chanzo cha habali ni cha kutunga leta link vile vile tupia na kapicha kidogo
 
Nimefurahi! Somalia waislam dhabiti wanakufa kwa njaa Saudi Arabia ndio kwanza wananunua silaha tujiulize WANAPIGANA NA NANI? je wameisaidia vipi Somali?! Juzi Mfalme wa Saudua alionekana akimvisha Trump kufu zito je lingenunua chakula tani ngapi kuwasaidia maskini na mafukara wanaofia dini Somalia! Good Move
 
Gazeti la Middle East Monitor limeandika Rais wa Somalia amekataa kupokea dola milioni 80 za kimarekani kutoka Saudi Arabia ili nchi hiyo ya Somalia ijiunge na muungano wa nchi za kiarabu katika kuisusia Qatar.
Serikali ya Somalia imesema haitaunga mkono upande wowote kwenye mgogoro huu, shirika la ndege la Qatar limeruhusiwa kutumia anga ya Somalia
wakati nchi zingine zimezuia ndege kuruka kwenye anga zao
Saud Arabia inajaribu kutumia pesa kuhimiza mataifa mengine kususia nchi ya Qatar.
Kumbe somalia kuna serikali
 
Nimefurahi! Somalia waislam dhabiti wanakufa kwa njaa Saudi Arabia ndio kwanza wananunua silaha tujiulize WANAPIGANA NA NANI? je wameisaidia vipi Somali?! Juzi Mfalme wa Saudua alionekana akimvisha Trump kufu zito je lingenunua chakula tani ngapi kuwasaidia maskini na mafukara wanaofia dini Somalia! Good Move
pesa huenda kwa pesa mwenzie ....we kalia muislamu wenzao...wenzio wanaona ni kama desturi tu lkn moyon wanaamini vtu vngne
 
Gazeti la Middle East Monitor limeandika Rais wa Somalia amekataa kupokea dola milioni 80 za kimarekani kutoka Saudi Arabia ili nchi hiyo ya Somalia ijiunge na muungano wa nchi za kiarabu katika kuisusia Qatar.
Serikali ya Somalia imesema haitaunga mkono upande wowote kwenye mgogoro huu, shirika la ndege la Qatar limeruhusiwa kutumia anga ya Somalia
wakati nchi zingine zimezuia ndege kuruka kwenye anga zao
Saud Arabia inajaribu kutumia pesa kuhimiza mataifa mengine kususia nchi ya Qatar.
Good Somalia.Tunataka viongozi wenye msimamo kama huu.What is money bwana.

Waarabu wa GCC(Gulf Cooperation Council) ni wapuuzi sana. Yaani wanatumiwa na Marekani kuwatesa ndugu zao?! Hopeless kabisa.
 
Back
Top Bottom