DED wa Arusha ana mgogoro mkubwa na Dc wa arusha na RC. Anamtuhu RC kuchukua rushwa kwa kampuni moja ya kuweka taa barabarani.pia dc amekashifiwa kuwa anaombaomba posho kila kukicha.Rc ameahidi kumshughulikia ikiwa hataomba radhi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.