MAMA anaupiga mwingi. Anafungulia nchi ili tuanze kuokota hela kwenye michanga.

Madini kafungulia, mabeberu wanapakua kwa kasi ya ajabu ili tuongeze pato la taifa. Kwa kitaalamu inaitwa ECONOMIC INCREMENTS.

Halafu pia MAMA hataki kodi za DHULUMA ndio maana kawaachia majizi na matakatishaji fedha ili uchumi wetu upanuke na kukua. Tunataka kuanza kuokota pesa.

Pesa ndio kila kitu. Kwa sasa tumehamia kwenye TOZO ili kupanua WIGO wa kuokota pesa.
Huku sikuokota sasa ni KUPALASA
 
Mimi naamini wataitoa wenyewe tu. Bahati mbaya watafanya hivyo wakati imeshaleta madhara makubwa kwa mapato ya serikali. Kama kabla ya tozo walikuwa wanaweza kukusanya say Sh100bn kutoka kwa miamala, kwa kuweka hizo tozo likely wakakusanya less than Sh100bn. Watu wameacha/wamepunguza kutumia miamala ya simu. Binafsi nimepunguza karibu 90% ya matumizi yangu ya miamala ya simu. Natumia benki na cash zaidi kiliko awali. Nimeanza kuzoea!

Watu wakishazoea hizo alternatives wanazotumia sasa kukwepa unyang'anyi kipitia tozo, itachukua muda kuwarudisha watu kutumia miamala ya simu hata kwa kuondoa tozo! Imechukua muda mrefu watu kuamini utumaji na upokeaji wa pesa kupitia simu za mkononi.

Kuna kazi kubwa makampuni ya simu yalifanya kujenga base ya mawakala nchi nzima......tozo hizi zitapunguza vipato vya mawakala na wengi wataacha hiyo biashara. naamini tozo hizi zina madhara ni makubwa kuliko serikali ilivyofikiria kabla . Muda utazungumza.
Mpesa na wengineo walipoingia mabenki yaliyumba na mengine yamekufa na mengine yamegeuka kuwa mawakala wa mpesa/ tigo pesa sasa ni wakati wa kuyumba kwa hizo mpesa na wenzake
 
Katika muendelezo uleule wa kudanganyadanganya wananchi serikali ya Samia imeanza kupiga chenga juu ya kupunguza tozo kubwa sana za miamala ya fedha.

Baada ya kelele kubwa na kukasirishwa kwa wananchi juu ya tozo kubwa za miamala ya fedha, serikali ya Samia ilijifanya kupoza kelele hizo kwa kuahidi kulifanyia kazi suala hilo. Lakini inaonekana hiyo ilikuwa ni tekniki ya kupoza hali huku wakiendelea kuwakamua wananchi pesa zao.

Hata Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa anasema tozo hizo haziwezi kuondolewa kwa sababu eti ziko kisheria.

Hoja hiyo ni hoja Muflisi kwa sababu hata Kikokotowo kilikuwepo kisheria lakini kiliahirishwa kutumika.

Tunaitaka serikali iitishe kikao cha dharura cha bunge ili bunge lipunguze hizo tozo mara moja.

Watanzania hatuwezi kuishi kwa kudanganywadanganywa

View attachment 1876301
Wameshapiga mahesabu wakaona wanakusanya hela nyingi japo watumiaji wamepungua. Hivyo hawawezi kutoa maana lengo lao ni kuhakikisha wanakusanya nyingi na sio faida kwa makampuni ya simu au urahisi wa huduma kwa wananchi.

Sio siri wametupa kazi kubwa sana sisi wenye kutumiana vihela vya ngama
 
Katika muendelezo uleule wa kudanganyadanganya wananchi serikali ya Samia imeanza kupiga chenga juu ya kupunguza tozo kubwa sana za miamala ya fedha.

Baada ya kelele kubwa na kukasirishwa kwa wananchi juu ya tozo kubwa za miamala ya fedha, serikali ya Samia ilijifanya kupoza kelele hizo kwa kuahidi kulifanyia kazi suala hilo. Lakini inaonekana hiyo ilikuwa ni tekniki ya kupoza hali huku wakiendelea kuwakamua wananchi pesa zao.

Hata Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa anasema tozo hizo haziwezi kuondolewa kwa sababu eti ziko kisheria.

Hoja hiyo ni hoja Muflisi kwa sababu hata Kikokotowo kilikuwepo kisheria lakini kiliahirishwa kutumika.

Tunaitaka serikali iitishe kikao cha dharura cha bunge ili bunge lipunguze hizo tozo mara moja.

Watanzania hatuwezi kuishi kwa kudanganywadanganywa

View attachment 1876301
Walisema tutazoea tu
 
Miaka kadhaa iliyopita, Watanzania walirudishwa kwenye Siasa za Ujamaa..
Hawakujua kuwa ilikuwa ni Janja ya Nyani.....kutengeneza Legathii...
Sasa wanarudishwa kwenye Soko Huria... kuendana na ukweli wa dunia....
Iliyobaki sasa ni KILIO CHA SAMAKI.................
 
Wakati ukuta. 2025 siyo mbali CCM wataona cha moto kwenye uchaguzi.
Hizi ndizo akili za mbongo halisi. Yaani ukajipange kuwaumiza ccm kwenye uchaguzi?
Serikali ni yao, jeshi na polisi ni vyao, tume ya uchaguzi ni yao. Wakiamua kuwatangaza wabunge na madiwani wote kuwa wa ccm huwaambii kitu....

hawa wahujumu uchumi hatutawatoa kwa uchaguzi
 
Wanasiasa lazima wawe makini wanapotunga sheria zinazogusa kundi kubwa ama nchi kwa ujumla wake.

Wamepitisha hii Tozo kwa haraka sana bila kujua ina athiri maisha ya walio wengi hasa waliojiajiri kupitia biashara hii pamoja na waliowekeza achilia mbali watumiaji.

EWURA itatoa bei mpya za mafuta Jumatano hii, ikipanda tena safari hii wamiliki Gari za abiria watapeleka pendekezo LATRA kupandisha nauli pia.

Nasikia nishat za majumbani nazo kama gesi zitapanda bei mwezi huu, umeme uko juu.

Gesi ya Mtwara inatufikia lini? Tuliambiwa itakua cheap na kila nyumba itakua na mfumo wa kupokea gesi moja kwa moja.

JK's dream imefia wapi?
 
Katika muendelezo uleule wa kudanganyadanganya wananchi serikali ya Samia imeanza kupiga chenga juu ya kupunguza tozo kubwa sana za miamala ya fedha.

Baada ya kelele kubwa na kukasirishwa kwa wananchi juu ya tozo kubwa za miamala ya fedha, serikali ya Samia ilijifanya kupoza kelele hizo kwa kuahidi kulifanyia kazi suala hilo. Lakini inaonekana hiyo ilikuwa ni tekniki ya kupoza hali huku wakiendelea kuwakamua wananchi pesa zao.

Hata Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa anasema tozo hizo haziwezi kuondolewa kwa sababu eti ziko kisheria.

Hoja hiyo ni hoja Muflisi kwa sababu hata Kikokotowo kilikuwepo kisheria lakini kiliahirishwa kutumika.

Tunaitaka serikali iitishe kikao cha dharura cha bunge ili bunge lipunguze hizo tozo mara moja.

Watanzania hatuwezi kuishi kwa kudanganywadanganywa

View attachment 1876301
Mimi napendekeza hizo tozo ziongezwe maradufu tena.
 
Nadhani sasa akili zimeanza kurudi kwa baadhi ya watu.

Tulisema kwamba hatutegemei tofauti kubwa sana kati ya huyu na watangulizi wake.

Sasa wamegoma, mtawafanya nini?

Intelligence guided with experience…..you can’t beat that!
Tayari tofauti ipo. JPM alikuwa na maamuzi yake binafsi na hakuwa akiongozwa na suggestions za watu kama kina Zungu na hawa kina Msigwa

Lakini hata hivyo maamuzi yake yalimfavor Mwananchi mnyonge, mfano suala la Kikokotoo, Machinga n.k

Huyu Mama anaendeshwa na maoni na maamuzi ya watu wa chini yake, which is bad
 
wewe siunataka maji na hospitali yenye dawa lkn pia unataka barabara safi, sasa unadhani nani atakuletea hivyo vitu vyote? vishuke kutoka mbiguni?!
lipa tozo ufaidi matunda yako mwenyewe, acha kudeka.
Tatizo litakuja wakati wa kampeni ccm watasema wajenga wao wakati kila mwananchi amejenga, pia nashangaa magesi, bahari, mbuga, madini, viwanda hivi vyote vimeshindwa kututoa hadi wamkamue mwananchi tena, halafu kwanini wabunge hawalipi kodi?
 
Hana ujanja, miradi aliyoachiwa na Magufuli ni mingi na inahitaji pesa nyingi amejua akicheza haitakamilika.

Kuanzia SGR, Nyerere Dam, Kigongo Busisi, daraja la kule Mikocheni baharani, bado miradi mingine ya barabara, maji safi na salama, umeme vijijini, inahitajika kama kawaida.

Kama Magufuli alikuwa anawapora watu pesa zao isivyo halali, basi Samia anachukua pesa kwa watu kihalali kwa msaada wa sheria kandamizi zilizopitishwa na bunge feki.
Bado wanafeli hakuna sababu ya msingi katika hilo.
Kama wanashindwa kutumia vyanzo vya rasilimali zilizopo Tanzania basi nchi imewashinda.
Chukulia mfano mbuga tu national parks unajua ni billions ngapi zinakusanywa kule kama ada ya wawekezaji kule porini,hapo bado hatujagusa madini,bado hatujagusa pesa zinazokusanywa kwenye mastendi ya bus hizo zote zinakwenda wapi?Afadhali magufuli alikuwa anachukua kwa matajiri na wafanyabiashara wenye uwezo.
Kiufupi nchi imewashinda
Kiufupi nchi imewashinda

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Wewe siunataka maji na hospitali yenye dawa lkn pia unataka barabara safi, sasa unadhani nani atakuletea hivyo vitu vyote? vishuke kutoka mbiguni?

lipa tozo ufaidi matunda yako mwenyewe, acha kudeka.
Kabla ya tozo, barabara, hospitali na mitlradi ya maji vilikua havijengwi?
 
Wewe siunataka maji na hospitali yenye dawa lkn pia unataka barabara safi, sasa unadhani nani atakuletea hivyo vitu vyote? vishuke kutoka mbiguni?

lipa tozo ufaidi matunda yako mwenyewe, acha kudeka.
......wakanunulie upya wapinzani kwao hilo pia ni la maendeleo.
 
Katika muendelezo uleule wa kudanganyadanganya wananchi serikali ya Samia imeanza kupiga chenga juu ya kupunguza tozo kubwa sana za miamala ya fedha.

Baada ya kelele kubwa na kukasirishwa kwa wananchi juu ya tozo kubwa za miamala ya fedha, serikali ya Samia ilijifanya kupoza kelele hizo kwa kuahidi kulifanyia kazi suala hilo. Lakini inaonekana hiyo ilikuwa ni tekniki ya kupoza hali huku wakiendelea kuwakamua wananchi pesa zao.

Hata Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa anasema tozo hizo haziwezi kuondolewa kwa sababu eti ziko kisheria.

Hoja hiyo ni hoja Muflisi kwa sababu hata Kikokotowo kilikuwepo kisheria lakini kiliahirishwa kutumika.

Tunaitaka serikali iitishe kikao cha dharura cha bunge ili bunge lipunguze hizo tozo mara moja.

Watanzania hatuwezi kuishi kwa kudanganywadanganywa

View attachment 1876301
Huyo Msigwa naye zombi tu
 
Hana ujanja, miradi aliyoachiwa na Magufuli ni mingi na inahitaji pesa nyingi amejua akicheza haitakamilika.

Kuanzia SGR, Nyerere Dam, Kigongo Busisi, daraja la kule Mikocheni baharani, bado miradi mingine ya barabara, maji safi na salama, umeme vijijini, inahitajika kama kawaida.

Kama Magufuli alikuwa anawapora watu pesa zao isivyo halali, basi Samia anachukua pesa kwa watu kihalali kwa msaada wa sheria kandamizi zilizopitishwa na bunge feki.
Mfanyabiashara gani nchini mwenye pesa za kunyangangwa Zika jenge SGR, Madaraja na bwawa la Nyerere, Matajir tulionao ukiwachukulia pesa na Mali zao zote hazifiki hata Trillion 10.
 
MAMA anaupiga mwingi. Anafungulia nchi ili tuanze kuokota hela kwenye michanga.

Madini kafungulia, mabeberu wanapakua kwa kasi ya ajabu ili tuongeze pato la taifa. Kwa kitaalamu inaitwa ECONOMIC INCREMENTS.

Halafu pia MAMA hataki kodi za DHULUMA ndio maana kawaachia majizi na matakatishaji fedha ili uchumi wetu upanuke na kukua. Tunataka kuanza kuokota pesa.

Pesa ndio kila kitu. Kwa sasa tumehamia kwenye TOZO ili kupanua WIGO wa kuokota pesa.
Kwanini asiongeze Tozo kwenye Madini na bidhaa zinazo toka nje ya nchi mfano mabati, saruji, na bidhaa za vyakula
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom