pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 6,206
- 6,433
Mkuu nipe maana ya kodiunaibiwaje wakati pesa inaenda kujenga madarasa watakayo soma watoto.wako na wajuu zako.
acha roho mbaya mkuu, changia maendeleo ya nchi yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nipe maana ya kodiunaibiwaje wakati pesa inaenda kujenga madarasa watakayo soma watoto.wako na wajuu zako.
acha roho mbaya mkuu, changia maendeleo ya nchi yako.
Madarasa kila siku inapitishwa michango huku ya madarasa hawa ni wahuni tu na weziunaibiwaje wakati pesa inaenda kujenga madarasa watakayo soma watoto.wako na wajuu zako.
acha roho mbaya mkuu, changia maendeleo ya nchi yako.
Magufuli alikuwa anakopa sana kutoka nje. Ndani ya muda mfupi deni limeshuti sana. Mama hawezi kukopa hivyo, zaidi inabidi tugharamie kwa kulipa kodi.Hana ujanja, miradi aliyoachiwa na Magufuli ni mingi na inahitaji pesa nyingi amejua akicheza haitakamilika.
Kuanzia SGR, Nyerere Dam, Kigongo Busisi, daraja la kule Mikocheni baharani baso miradi mingine ya barabara, maji safi na salama, umeme vijijini, inahitajika kama kawaida.
Kama Magufuli alikuwa anawapora watu pesa zao isivyo halali, basi Samia anachukua pesa kwa watu kihalali kwa msaada wa sheria kandamizi zilizopitishwa na bunge feki.
Mama yako wewe ni faida kwa taifa?Huyu mama yenu atakua na mwisho mbaya haijawahi tokea .Sasa kama inaua biashara za watu utawezaje kikuza uchumi kwa aina hii ya viongozi ni hasara kwa Taifa .
Kwan wakati wa JPM tulikuwa hatulipi kodi kwenye miamala yetu? VAT iliyokuwa inakatwa tunapofanya miamala ilikiwa ni nn? Kodi kila mtu alikuwa analipa toka mwanzo ila hii ya sasa ni kuumizana ya unalipa kodi mara mbili tena unakatwa kodi kubwa kuliko anayokukata mtoa hudumaHii kodi unaitafsiri isivyo.
Unajua kabla ya hii tozo sijui kodi mlikuwa mmeichukia serikali ya JPM kwa sababu ya namna zake za kukusanya kodi? Alipolazimisha kila duka lililoka mjini liwe na zile mashine za risiti? Kuanzia vile vigrocery vidogo kabisa hadi maduka makubwa? Ali mradi yapo tu mjini ilibidi yalipe kodi tu na kufunga zile mashine.
Now mi nilikuwa pro-JPM kindakindaki na nasikitika nchi imempoteza kiongozi very capable namna ile. Lakini miongoni mwa vitu sikukubaliana naye ilikuwa namna alivyodeal na private sekta namna ile. Hii nchi bado haijafikia kiwango cha private sekta kubeba mizigo yote ya nchi.
Hii nchi bado, inabidi wote tushiriki kuijenga na walau kwa hizi tozo hata yule asiyefikika kwa mifumo rasmi ya ukusanyaji kodi atashiriki.
Hatukatai kulipa kodi ila gharama za tozo nikubwa mno jaribu kumtumia mtu 25,000 upate majibu, laki moja kuituma kwenye mabenki wanakukata 6,130Magufuli alikuwa anakopa sana kutoka nje. Ndani ya muda mfupi deni limeshuti sana. Mama hawezi kukopa hivyo, zaidi inabidi tugharamie kwa kulipa kodi.
Dawa ni moja tu , kubeba pesa na kuzipeleka kwa bodabodaKatika muendelezo uleule wa kudanganyadanganya wananchi serikali ya Samia imeanza kupiga chenga juu ya kupunguza tozo kubwa sana za miamala ya fedha.
Baada ya kelele kubwa na kukasirishwa kwa wananchi juu ya tozo kubwa za miamala ya fedha, serikali ya Samia ilijifanya kupoza kelele hizo kwa kuahidi kulifanyia kazi suala hilo. Lakini inaonekana hiyo ilikuwa ni tekniki ya kupoza hali huku wakiendelea kuwakamua wananchi pesa zao.
Hata Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa anasema tozo hizo haziwezi kuondolewa kwa sababu eti ziko kisheria.
Hoja hiyo ni hoja Muflisi kwa sababu hata Kikokotowo kilikuwepo kisheria lakini kiliahirishwa kutumika.
Tunaitaka serikali iitishe kikao cha dharura cha bunge ili bunge lipunguze hizo tozo mara moja.
Watanzania hatuwezi kuishi kwa kudanganywadanganywa
View attachment 1876301
Sasa hiyo tozo tunalipa wananchi wanyonge pekee?Wewe siunataka maji na hospitali yenye dawa lkn pia unataka barabara safi, sasa unadhani nani atakuletea hivyo vitu vyote? vishuke kutoka mbiguni?
lipa tozo ufaidi matunda yako mwenyewe, acha kudeka.
Nasikia Kwenye mabenki wameongezatozo piaDawa ni moja tu , kubeba pesa na kuzipeleka kwa bodaboda
Lakini wanachosahau ni kuwa hata hayo makampuni ya simu yatakufaMara nyingi tozo zinakuwa ndani ya jedwali na waziri ana mamlaka ya kuzibadilisha hata bila kushirikisha bunge, sema tu wameamua kupotezea........washatufanya mazwazwa.
Tozo ziondolewe hawakufikilia sawa sawa ni kumuongezeaTunakubaliana na Serikali tozo zibaki ila ziangaliwe katika utozaji. Kusema ziondolewe kabisa ni kuihujimu Serikali ya Mama Samia imeshindwe kupeleka huduma za jamii kwa wananchi na kisha waanze kuisema.
VODA wameshalalamika biashara yao ya huduma za kifedha kushuka hasa maeneo ya vijijini, kuna hatari makampuni yakaanza kuhamisha mitaji na kuathiri maendeleo kwenye sekta nzima ya mawasiliano.....tutarudi enzi za kupanda juu ya miti ili uweze kupata network.Lakini wanachosahau ni kuwa hata hayo makampuni ya simu yatakufa
Hivi unajua kuwa wananchi weshaanza kususia hizo huduma za simu, ikiwemo hiyo miamala ya simu?
Kwa hiyo serikali itakosa hizo tozo za dhuluma walizozianzisha na makampuni ya simu yata-colapse.
Huo ndiyo ukweli mchungu ambao inabidi serikali waumeze
safi sana
nimefurahi sana kuendelea kuijenga nchi yangu.
nitaendelea kulipa tozo kama kawaida.
lipa tozo kwa maendeleo yako
wewe siunataka maji na hospitali yenye dawa lkn pia unataka barabara safi, sasa unadhani nani atakuletea hivyo vitu vyote? vishuke kutoka mbiguni?!
lipa tozo ufaidi matunda yako mwenyewe, acha kudeka.