Serikali ya Rais Samia ndiyo itakayoumiza sana Wanyonge. Hili tuendelee kukumbushana

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,471
23,744
Ndani ya miezi yake michache ameendelea kunyonya watu wenye kipato cha chini na kufaidisha Matajiri.

Kodi iliyooongezeka kwenye mafuta si rafiki kwa maskini. Ni kodi ya kinyonyaji,wizi na ulaghai mkubwa.

Kodi kwenye miamala ni kodi hiyo hiyo endelevu ya kunyonya watanzania maskini.

Bado kodi ya kuongeza salio. Serikali inaonekana imekosa ubunifu na inaamini katika kuendelea kuwanyonya wananchi hawa maskini.

Tulikuwa tunasema tumpe muda na tumempa muda wa kuwa nyonya maskin damu. Hii ni moja ya Serikali ambazo zitaumiza sana watu wa kipato cha chini. Anyway kwa sisi wafanya biashara tunashukuru maana tutarudisha kile ambacho kilipotea wakati wa Magufuli akiwapendelea wa kipato cha chini.
 
Ndani ya miezi yake michache ameendelea kunyonya watu wenye kipato cha chini na kufaidisha Matajiri.

Kodi iliyooongezeka kwenye mafuta si rafiki kwa maskini. Ni kodi ya kinyonyaji,wizi na ulaghai mkubwa.

Kodi kwenye miamala ni kodi hiyo hiyo endelevu ya kunyonya watanzania maskini.

Bado kodi ya kuongeza salio. Serikali inaonekana imekosa ubunifu na inaamini katika kuendelea kuwanyonya wananchi hawa maskini.

Tulikuwa tunasema tumpe muda na tumempa muda wa kuwa nyonya maskin damu. Hii ni moja ya Serikali ambazo zitaumiza sana watu wa kipato cha chini. Anyway kwa sisi wafanya biashara tunashukuru maana tutarudisha kile ambacho kilipotea wakati wa Magufuli akiwapendelea wa kipato cha chini.
Hamna serikali ya Samia, Ni serikali ya CCM. Chanzo Cha Matatizo
 
Na bado huu ni mwanzo tu manina mpaka tulie kilio cha mbwa koko mdomo juu 😂😂😂

Ndani ya miezi yake michache ameendelea kunyonya watu wenye kipato cha chini na kufaidisha Matajiri.

Kodi iliyooongezeka kwenye mafuta si rafiki kwa maskini. Ni kodi ya kinyonyaji,wizi na ulaghai mkubwa.

Kodi kwenye miamala ni kodi hiyo hiyo endelevu ya kunyonya watanzania maskini.

Bado kodi ya kuongeza salio. Serikali inaonekana imekosa ubunifu na inaamini katika kuendelea kuwanyonya wananchi hawa maskini.

Tulikuwa tunasema tumpe muda na tumempa muda wa kuwa nyonya maskin damu. Hii ni moja ya Serikali ambazo zitaumiza sana watu wa kipato cha chini. Anyway kwa sisi wafanya biashara tunashukuru maana tutarudisha kile ambacho kilipotea wakati wa Magufuli akiwapendelea wa kipato cha chini.
 
Ndani ya miezi yake michache ameendelea kunyonya watu wenye kipato cha chini na kufaidisha Matajiri.

Kodi iliyooongezeka kwenye mafuta si rafiki kwa maskini. Ni kodi ya kinyonyaji,wizi na ulaghai mkubwa.

Kodi kwenye miamala ni kodi hiyo hiyo endelevu ya kunyonya watanzania maskini.

Bado kodi ya kuongeza salio. Serikali inaonekana imekosa ubunifu na inaamini katika kuendelea kuwanyonya wananchi hawa maskini.

Tulikuwa tunasema tumpe muda na tumempa muda wa kuwa nyonya maskin damu. Hii ni moja ya Serikali ambazo zitaumiza sana watu wa kipato cha chini. Anyway kwa sisi wafanya biashara tunashukuru maana tutarudisha kile ambacho kilipotea wakati wa Magufuli akiwapendelea wa kipato cha chini.
Wenda tunamuonea, KWA namna moja au nyingine, maana mwendazake hakuwa na kipaumbele, kuanzisha ma miradi makubwa Kama vile alikuta nchi ipo kuzikwa, mfano

Bwawa la umeme, Kama vile kakuta nchi ipo gizani

Reli Kama vile alikuta hakuna usafili wa tren,

Sasa SSH rais anakabwa na ccm kisa ilani ya ccm,lazima kujikongoja na mamiladi, angalau kuwafuraisha wanachama wenzake,na lazima maisha yawe magum, mwendazake kaacha amekamua nchi , basi tu Mambo ya nchi yanabaki siri

Lakini kisiwe kigezo Cha kuwakamua watz , SSH rais Inabidi kisimama ,akiwasikiliza Ccm wananchi watalimia kucha,

Ssh Rais kutana na vyama vya siasa yapo mawazo utapewa na siku Iyo utalala usingizi mwanana, Kuna vichwa kule sio vya Dunia hii ,achana na wafia tumbo wa ccm sio wema kwako ,
 
Wana JF tunatafutiana ban za lazima sasa hivi kujifanya hamnazo na kujisahaulisha.

Hakuna kiongozi aliotupa wakati mgumu kimaisha kama John Joseph Pombe Magufuli. Mambo alivyoyavuruta na kutuburuza nayo kama taifa yule mzee hayaelezeki.

Hakubakisha mtu salama, kuanzia Wakulima wa Korosho, Wauza Midosho, Wafanyabiashara, Wastaafu, Walimu, Wafanyakazi wa Umma, Wanafunzi kwenye Riba Za Mikopo, Madereva kwenye Mikeka ya trafic, Wachimbaji Wadogo na Wakubwa wa Madini, Mashirika ya Ndege kama Precison Air + Fast Jet.
 
Si mlikuwa mnamtukana Magufuli?

Si mlisema mama anaupiga mwingi na sasa ufipa mnapumua?

Season ya nyumbu migration imeanza rasmi
Mama kwani anatoka chama gani? Si kilekile Chama Cha Mazezeta? Tulikuwa tunawapasua na mmepasuka kisawasawa, sikiliza hotuba za Gagool linganisha na zilizopita
 
Ndani ya miezi yake michache ameendelea kunyonya watu wenye kipato cha chini na kufaidisha Matajiri.

Kodi iliyooongezeka kwenye mafuta si rafiki kwa maskini. Ni kodi ya kinyonyaji,wizi na ulaghai mkubwa.

Kodi kwenye miamala ni kodi hiyo hiyo endelevu ya kunyonya watanzania maskini.

Bado kodi ya kuongeza salio. Serikali inaonekana imekosa ubunifu na inaamini katika kuendelea kuwanyonya wananchi hawa maskini.

Tulikuwa tunasema tumpe muda na tumempa muda wa kuwa nyonya maskin damu. Hii ni moja ya Serikali ambazo zitaumiza sana watu wa kipato cha chini. Anyway kwa sisi wafanya biashara tunashukuru maana tutarudisha kile ambacho kilipotea wakati wa Magufuli akiwapendelea wa kipato cha chini.
Atawaumizaji Wanyonge nae ni RAIS Wa WANYONGE? ATAWAUMIZA WAPINZANI
 
Ndani ya miezi yake michache ameendelea kunyonya watu wenye kipato cha chini na kufaidisha Matajiri.

Kodi iliyooongezeka kwenye mafuta si rafiki kwa maskini. Ni kodi ya kinyonyaji,wizi na ulaghai mkubwa.

Kodi kwenye miamala ni kodi hiyo hiyo endelevu ya kunyonya watanzania maskini.

Bado kodi ya kuongeza salio. Serikali inaonekana imekosa ubunifu na inaamini katika kuendelea kuwanyonya wananchi hawa maskini.

Tulikuwa tunasema tumpe muda na tumempa muda wa kuwa nyonya maskin damu. Hii ni moja ya Serikali ambazo zitaumiza sana watu wa kipato cha chini. Anyway kwa sisi wafanya biashara tunashukuru maana tutarudisha kile ambacho kilipotea wakati wa Magufuli akiwapendelea wa kipato cha chini.
Wewe jua tu kwamba amekwishajitambulisha kwamba yeye ni mtu wa walanguzi na wachuuzi; sasa hapo ataweza vipi kupigania maslahi ya hao unaowaita "wanyonge"?

Sijui ilikuwaje hadi ukawa mgumu sana wa kumwelewa. Aliposema anakwenda kufungua nchi, bado hukuelewa alikuwa na maana gani hadi udai ulikuwa bado unampa muda, muda wa nini tena?

Hivyo visenti vyenu vitakavyokuwa vinakusanywa sasa, ndiyo njia ya kuwaondolea wachuuzi na walanguzi wake mzigo uliokuwa ukiwaelemea; sasa nyinyi wanyonge ndio mtakaokuwa mnaziba mapengo hayo ya upungufu, huku wenzenu wakila kuku kwa mirija; wakiimba nyimbo "serikali isifanye biashara", huku wao ndio wakinyonya huko huko serikalini hivyo visenti vyenu mnavyovililia hapa!
 
Back
Top Bottom