kalacha mateo
Senior Member
- Sep 27, 2021
- 118
- 237
Serikali ya awamu ya sita kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imetenga kiasi cha TZS bilioni 50/= kwaajili ya programu ya kupanga, kupima na kumilikisha ardhi nchini. Pesa hizo zitakopeshwa kwa Halmashauri 55 nchini kutekeleza programu hiyo.
"Kuhusu masuala ya ardhi, namshukuru rais wetu Samia kwa kuipatia wizara shilingi bilioni 50 na kati ya kiasi hicho mkoa wetu wa Mwanza umepata shilingi bilioni 6.91, pesa ambazo zimesaidia sana upimaji viwanja katika halmashauri zetu ikiwemo Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela"- Dk Angeline Mabula, Waziri wa Ardhi
Programu ya Upimaji na umilikishaji wa ardhi itasaidia jamii kuepuka migogoro ya ardhi, pamoja na hayo Serikali ya Rais Samia iko kazini migogoro ya ardhi inapatiwa ufumbuzi.
"Kuhusu masuala ya ardhi, namshukuru rais wetu Samia kwa kuipatia wizara shilingi bilioni 50 na kati ya kiasi hicho mkoa wetu wa Mwanza umepata shilingi bilioni 6.91, pesa ambazo zimesaidia sana upimaji viwanja katika halmashauri zetu ikiwemo Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela"- Dk Angeline Mabula, Waziri wa Ardhi
Programu ya Upimaji na umilikishaji wa ardhi itasaidia jamii kuepuka migogoro ya ardhi, pamoja na hayo Serikali ya Rais Samia iko kazini migogoro ya ardhi inapatiwa ufumbuzi.