TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,740
- 21,181
Ni siasa ni zaidi ya hapo na bahati ni sehemu ya siasa.Duh !! Nilisikia kwamba katika siasa haijalishi wewe uko smart kiakili kiasi gani au unajua kuongea kiasi gani hivyo vigezo haviwezi kukusaidia chochote!! Kinachotakiwa kwenye siasa ni kuwa na bahati tu ndio kitu muhimu !! Je ni kweli ??!