Prof. P.L.O Lumumba achambua serikali za Muungano katika Afrika inayolingana na CCM kuunda CCM-B, CCM-A n.k:
- Serikali za Muungano wa vyama zinavyoua upinzani Afrika
- Serikali ya Muungano ni kama ndoa ya wasiopendana
- Nyani ni walewale tu wanabadilisha misitu tu
- Wezi na mafisadi wanaenziwa na serikali
- Uongozi ni fursa ya kujilimbikiza mali kujitayarisha kwa chaguzi
- Mafisadi wanajua majopo/tume yataundwa lakini watapona kukamatwa
- Kwa nini bei za mafuta, chakula zinapanda serikali haijali
- Kwanini serikali zinajaribu kubumbaza wananchi kwa udini/ukabila
- Hakuna marefu yaso-ncha, watu washagutuka
- Taasisi zisizo za kiserikali zinafanya kazi nzuri kuelimisha umma
- Kelele hizi wa wapinzani kama CHADEMA ni mwanzo wa ukombozi
- Mtunzi Shaaban Robert simulizi za nchi ya Kusadikika a.k.a wajinga n.k
Last edited by a moderator: