Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,568
Serikali ya mtaa Tandale yawaweka ndani/lock up wafanyabiaahara wadogo/wajasiria mali kwa kuchelewesha tozo ya ulinzi ya miezi miwili ambapo kwa mwezi ni sh 2,000/=.
Kwanini serikali ya awamu hii inatumia nguvu kubwa kuliko hali halisi ?
Hivi mpaka mtu anashindwa kulipa elfu mbili unamsweka ndani Kituo cha police Tandale alafu umdai faini ya elfu hamsini huoni kama ni kuwaonea masikini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini serikali ya awamu hii inatumia nguvu kubwa kuliko hali halisi ?
Hivi mpaka mtu anashindwa kulipa elfu mbili unamsweka ndani Kituo cha police Tandale alafu umdai faini ya elfu hamsini huoni kama ni kuwaonea masikini?
Sent using Jamii Forums mobile app