Serikali ya Marekani izuie mara moja uzinduzi wa Kipindi cha ROYAL TOUR cha Rais Samia nchini humo kushinikiza Utawala Bora nchini

Nipo katika hatua za mwisho za kuweka zuio la kisheria la kuitaka serikali ya Marekani kuzuia Uzinduzi wa kipindi cha ROYAL TOUR ambapo uzinduzi huo utafanywa na Rais Samia mwenyewe huko Marekani.

Katika malalamiko yangu yatakuwa kuikumbusha serikali ya Washington DC kuwa uvunjaji wa Demokrasia nchini umefikia hatua mbaya zaidi katika utawala huu.

Mazingira ya siasa kwa vyama vya upinzani yamekuwa ya kukatisha tamaa na kuogopesha zaidi chini ya utawala wa Samia. Kama mtanzania nina wajibu wa kukemea mabaya ambayo nayaona yanaweza kuvuruga amani ya taifa letu. Mambo makuu ambayo jumuiya ya kimataifa inapaswa kujua kuwa yanatendeka Tanzania ni pamoja na:

(1) Uzuiwaji wa mikutano na mikusanyiko ya ndani ya vyama vya upinzani kinyume na taratibu na sheria za nchi.

(2) Serikali na bunge la JMT kutoheshimu katiba ya vyama vya upinzani na sheria ya uwakilishi bungeni ambapo serikali imekataa kuwaondoa wabunge wasio na chama bungeni.

(3) Serikali kukamata na kuwabambikia makosa yasiyo na dhamana viongozi wa upinzani.
Vyombo vya habari USA vina haki kikatiba kutangaza lolote umewahi kusikia gazeti lolote au chombo chochote kimefungiwa ! hakuna kitu kama hicho
 
wapinzani Tanzania tafuteni namna sahihi ya kupambana na CCM, hizi siasa za kuwategemea wazungu ndio CCM itoke hazina faida....hao the so called wapo kwa maslahi yao na hata siku ukiona wanausaidia upinzani kuitoa CCM ujue kuna maslahi yao huko..

Watanzania wako tayari kwa mabadiriko miaka mingi sana tatizo ni aina ya wanasiasa na vyama vinavyojinasibu kushika dola na kuitoa CCM..

.Hivi Katiba Mpya Kwa Maslahi Ya Kwao Kuingia Ikulu 90%
Au Kwa Maslahi yako Wewe Mlalahoi?
2.Je Wakiingia Ikulu Nini Watafanya Kipya Ambacho/Ambavyo Havijawahi Kufanyaa?
Nitafurahi Nikipata Majibu Haya Mkuu kwa Lengo tuu la Kunielimisha
 
Marekani ukishachezea demokrasia huwa hawachezi na wewe mbali...utani utani hivi hivi mara maza safari ya US giii
 
Nipo katika hatua za mwisho za kuweka zuio la kisheria la kuitaka Serikali ya Marekani kuzuia Uzinduzi wa kipindi cha ROYAL TOUR ambapo uzinduzi huo utafanywa na Rais Samia mwenyewe huko Marekani.

Katika malalamiko yangu yatakuwa kuikumbusha serikali ya Washington DC kuwa uvunjaji wa Demokrasia nchini umefikia hatua mbaya zaidi katika utawala huu.

Mazingira ya siasa kwa vyama vya upinzani yamekuwa ya kukatisha tamaa na kuogopesha zaidi chini ya utawala wa Samia. Kama mtanzania nina wajibu wa kukemea mabaya ambayo nayaona yanaweza kuvuruga amani ya taifa letu. Mambo makuu ambayo Jumuiya ya kimataifa inapaswa kujua kuwa yanatendeka Tanzania ni pamoja na:

(1) Uzuiwaji wa mikutano na mikusanyiko ya ndani ya vyama vya upinzani kinyume na taratibu na sheria za nchi.

(2) Serikali na Bunge la JMT kutoheshimu Katiba ya vyama vya upinzani na sheria ya uwakilishi Bungeni ambapo Serikali imekataa kuwaondoa Wabunge wasio na chama Bungeni.

(3) Serikali kukamata na kuwabambikia makosa yasiyo na dhamana viongozi wa upinzani.
Apokelewe na MABANGO
 
You never know huenda Mama ameshaliona hilo! Ndiyo maana Msajiri wa Vyama amependekeza Wapinzani kukutana na IGP ili kuona wanafanyaje! Huenda Msajiri amepewa maelekezo!
 
Tunafahamu lakini ya kuwa hiyo documentary aitorushwa bure huko USA, hivi nani atakataa hela inayojipeleka.

Badala ya kutaka wabunge waulize maswali ya msingi kama gharama za kurushwa icho kipindi chake, gharama za kutengeneza, gharama ya kuzunguka na kulala maporini msafara wote ule na kama ni value for money.

Watu mnakimbilia USA izuie; Lissu na CDM wamearibu akili za watanzania mmekuwa tegemezi sana wama beberu kwenye kila kitu, badala ya kupambana vita yenu.

Watanzania wanahitaji mtu mwenye huruma nao kama Magufuli, maana wenyewe ni clueless hata kwenye kuhoji.

Bila ya raisi mwenye huruma na maskini ilo watatia adabu miaka yote.
Mkuu pole Sana kwakuondokewa na Jiwe. VP alikuwa hajafanikuwa kuacha wosia wa Nani atamrithi??
 
Americans are the world "champion" of democracy ----- in this case we expect them not to be mum, Atleast they have to take their influential opportunity while she is in there to tell her the truth obout deteriorating democracy in Tz by her Government.
Americans Champions of democracy Amerika ipi unayoizungumzia mkuu?
 
Back
Top Bottom