Serikali ya mapinduzi Zanzibar inatoa wapi madaraka ya kuridhia matumizi ya bendera ya Tanzania

Imetoa hapo kwenye red TANZANIA


Wakati akitoa ufafanuzi kuhusu tishio la Marekani kuiwekea vikwazo vya kiuchumi Tanzania, kutokana na nchi hiyo kuruhusu Iran kupeperusha bendera yake kwenye manowali zake za mafuta, waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa wa Tanzania, Membe, ananukuliwa kuelezea kwamba serikali ya mapinduzi Zanzibar inao mkataba na kampuni moja ya Dubei unaoipa kampuni hiyo madaraka ya kuingia kwenye mkataba na nchi mbali mbali duniani kwa lengo la kuruhusu nchi hizo kupeperusha bendera ya Tanzania kwenye meli zao bila shaka kwa malipo. Swali langu ni je hayo madaraka ya kutumia bendera ya Tanzania kibihashara serikali ya mapinduzi Zanzibar imeyapata wapi?
 
JK mtu swafi hana majungu, mpenda haki, na mpenda muungano ndio maana akateuwa wajumbe sawa wa tume ya katiba kwa kujua hili, wewe ndio katika mafisadi wa muungano lakini sasa tunautengeneza uwe wa mkataba, na JK yupo na haondoki mpaka mwisho, na yeye ndio atatwambia who next kama ulidhani Mbowe mtu hajenda hata shule sahau tangu uhuru maraisi wote wana degree mbowe haiwezekani mpelekeni chuo kikuu huria kwanza akasome.

Chuki yako kwa Mbowe haindoi udhaifu wa JK.
 
Wakati akitoa ufafanuzi kuhusu tishio la Marekani kuiwekea vikwazo vya kiuchumi Tanzania, kutokana na nchi hiyo kuruhusu Iran kupeperusha bendera yake kwenye manowali zake za mafuta, waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa wa Tanzania, Membe, ananukuliwa kuelezea kwamba serikali ya mapinduzi Zanzibar inao mkataba na kampuni moja ya Dubei unaoipa kampuni hiyo madaraka ya kuingia kwenye mkataba na nchi mbali mbali duniani kwa lengo la kuruhusu nchi hizo kupeperusha bendera ya Tanzania kwenye meli zao bila shaka kwa malipo. Swali langu ni je hayo madaraka ya kutumia bendera ya Tanzania kibihashara serikali ya mapinduzi Zanzibar imeyapata wapi?

Kwa mujibu wa suala lako nafikiri ukipitia Katiba ya Muungano ya JMTz imebainisha wazi katika sharia hiyo ya Muungano inayobainisha Mamlaka ya JMTz No 15 Ibara ya 9 ya mwaka 1984. Kifungu cha 34.

34.-(1) Kutakuwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano
ambayo itakuwa na mamlaka juu ya mambo yote ya Muungano

katika Jamhuri ya Muungano, na pia juu ya mambo mengine yote

yahusuyo Tanzania Bara
.
(2) Mamlaka ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano yatahusu
utekelezaji na hifadhi ya Katiba hii na pia mambo mengineyo yote
ambayo Bunge lina mamlaka ya kuyatungia sheria.
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

(3) Mamlaka yote ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano juu ya
mambo yote ya Muungano katika Jamhuri ya Muungano, na pia
juu ya mambo mengineyo yote yahusuyo Tanzania Bara,
yatakuwa mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Na kama utapitia Sharia namba Na.15 ib.6 ya 1984, kifungu cha 4 ya JMTz utaona zaidi SMZ, BLW imeelezewa vipi na mipaka yake ipo wapi na uwezo huo wamepata kutoka katika Katiba ya Mungano ya JMTz.

 
Back
Top Bottom