Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar yawa ombaomba

mshumbusi

JF-Expert Member
Oct 24, 2011
457
231
Habari wana javi
Leo imetapakaa barua ya kuomba msaada wa kifedha kukamilisha sikuku ya mapinduzi ya Zanzibar

eb70eea2ea47282720738fc8447fa91e.jpg
 
Hali ya kukosa mapato kwa serikali hasa bandarini....hakukuletwa na serikali!!
 
walikuwa wanadai uhuru wa nini kama hawawezi kujihudumia? Wapeleke hayo maombi kwa sultan bargash arudi kuwahudumia vizuri.
 
SI wamuombe'Mtukufu' ambaye alitamba kwa swaga za kishamba kuwa yupo na za la Jecha kwa kila hali?
 
Back
Top Bottom