Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Kwa awamu hii hizo zinakua pesa zako na zinaitwa ni Fedha za ndani,hahah.
Hivi ulipokwenda shule ulisoma nini kama sio ujinga? Yaani hata wewe mfano mdogo tu ukikopa pesa kwa shughuli yoyote ile ina maana hizo sio pesa zako? To put it simply when you use your credit card who pays the issuer of the card with interest? Grow up to your age. Tofautisha na misaada. Taja pesa za bure ambazo Tanzania imepata? Weka ushahidi?