Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Haaaaa ilo ndo jiwe anajifutia korodani anajua kabisa haliuziki
Tatizo hata wanao zushiwa hatuoni wakichukua hatua za kisheria,
HahahhHaaaaa ilo ndo jiwe anajifutia korodani anajua kabisa haliuziki
Naomba kukuuliza wewe unaejua hizi sheria.Hapo Mbowe ndiye anatakiwa achukue hatua kama kasingiziwa, sasa Serikali ifungie gazeti kwani imesemwa yenyewe?
Jiwe amemsaidia lipumba kumrudisha Kwa nguvu ya polisi ndani ya cuf kuiharibu kafanikiwa sasa anaendelea na na chadema kutafuta visa.anafadhili magazeti kama haya na Tanzanite wananchi wenye akili tunaona Kwa waziwaziNaomba kukuuliza wewe unaejua hizi sheria.
Kiongozi wa serikali au CCM au wa dini mwenye mlengo wa kunyenyekea serikali bila kuhoji (Ilitokea kwa Kadinali Pengo) akiandikwa madhaifu yake hata kama ni ya kweli Waziri Mwakyembe anachukua hatua Mara moja.
Kwa nini hali kama hiyo haitokei wakiandikwa viongozi wa upande wa pili?
Jeshi la Polisi je? Halioni kuna kitu cha kufanya kutokana na hilo andiko!?Hapo Mbowe ndiye anatakiwa achukue hatua kama kasingiziwa, sasa Serikali ifungie gazeti kwani imesemwa yenyewe?
Kumbe utaratibu upo hivyo.Hapo Mbowe ndiye anatakiwa achukue hatua kama kasingiziwa, sasa Serikali ifungie gazeti kwani imesemwa yenyewe?
Jinai haifi, huyu analindwa na Jiwe, kuna siku watawajibika na Jiwe hatakuwa na uwezo wa kuwalinda. Time will tell!
Nakumbuka Habinder Seth enzi za Kikwete alikuwa mfadhili wa Jeshi la polisi , lakini baada ya Kikwete kutoka ni MahabusuJinai haifi, huyu analindwa na Jiwe, kuna siku watawajibika na Jiwe hatakuwa na uwezo wa kuwalinda. Time will tell!
Sababu ya Viongozi wajinga....ela ikiliwa kijinga serikali inayosimamia hiyo ela nayo itakuwa ya kijinga....Hela ya nchi inaliwa kijinga sana !