field marshall1
JF-Expert Member
- Sep 17, 2017
- 1,171
- 2,730
- Thread starter
- #41
Unaongea ulevi mtupu. Hakuna unachoelewa zaidi ya kuongea kwa kutumia tumboHujui chochote kuhusu biashara ya madin ya vito ndugu...hyo sio gold...biashara ya vito maongez ni mezan kokote kule dunian hata uende bangkok leo kwenye world market..unaweza nunua jiwe la m10 ..na ukashindwa liuza hata mia hapo hapo sokoni...usikariri.sio dhahab ile
Na hyo imesababishwa na cartels zenyew..ndiomana dhahab inaheshimika hata pesa bank kuu unaweza hifadh kwa vipande vya dhahab.ila hata sku1 huwez skia bank inaruhusu uhifadh fedha kwa vipande vya tanzanite au vito vingne..ts jus a character of commodity market