Serikali ya Korea yatoa dola elfu 50 kwa waathirika wa Kagera

Bahati mbaya hawa wa Korea hawaelewi kiswahili wangekua wanaelewa wasinge toa, hau kama wangetoa wangepeleka wenyewe na kugawa kwa waathirika.
 
Hizo tayari zimeshaingia kwa wapiga dili. Hapo wazee wa Kagera waandike maumivu.
 
Wana board

Serikali ya Jamhuri ya Korea imetoa msaada wa Dola za Marekani elfu hamsini sawa na 108milioni kwa ajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi lilitokea mkoani Kagera.

Zimekabidhiwa kwa Waziri wa Mambo ya Nje.. Mhe.Balozi Mahiga


Vipi zitawafikia walengwa au zitaelekezwa kweny miundombinu ya Serikali?
 
Zitaenda kujenga shule ya wazazi ccm Omumwani na kununua mashine mpya pale Uhuru Publication
 
Mhaa! Zishapigwa tayari nawapa polee wahanga wa tetemeko wataishia kula kwa macho tu
 
Daaah..! najua Pomb@ kazifurahia. ....hivi sasa naiona chato inakuwa Geneva mpya. ....hongera wapiga chapuo. ..
 
Wana board

Serikali ya Jamhuri ya Korea imetoa msaada wa Dola za Marekani elfu hamsini sawa na 108milioni kwa ajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi lilitokea mkoani Kagera.

Zimekabidhiwa kwa Waziri wa Mambo ya Nje.. Mhe.Balozi Mahiga
Korea kusini au kaskazini??
 
View attachment 450903
Serikali ya Jamhuri ya Korea imetoa msaada wa Dola za Marekani elf 50,000 takribani milioni 108 kwa fedha za Tanzania kwa ajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi lilitokea mkoani Kagera mwezi Septemba 2016.

Ehee mola muumba wa mbingu na nchi jalia sana huu mchango uwafikie waathirika wenyewe kama ulivyo bila kupungua hata senti moja AMINA. Shetani na vishawishi vyote vya kuipunguza au kuitumia kivingine vishindwe kabisa kabisa kwa jina la YESU aliyezaliwa juzi AMEEN
 
Zitapotea kama zilivyopotea pesa za mauzo ya chadema kwa Lowasa
Chama kikaachwa hamna hata punje ya ofisi.

Billion kumi ikalambwa yote.
mijitu mingine bana, lowasa kaingiaje hapa, au unataka uolewe uwe mke wa 2, lowasa lowasa,
 
Hawa wamesaidia kuziba pengo la bajeti ya serikali si kwa ajili ya wahusika wa tetemeko
 
Back
Top Bottom