Akili fupi hii, gesi ilinayochimbwa leo unafikiri iligunduliwa mwaka jana? Hivyo na uwekezaji na mipango mingine pia utekelezaji wake ni hatua. "Mtaji wa mjinga ni majungu" We endelea kupiga majungu Serikali inapiga kazi.
Ccm hawatakiwi kujinadi kwa nguvu na jasho ila umri wao ktk siasa na sera zao na kiwango cha utekelezaji wa sera zao wananchi wakiviona hivyo,hakuna wakuibeza ccm.lakini kama ni maneno na maandishi tu hata mwana ccm ataikana ccm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.