Serikali ya Kikwete Imefanya nini 2005-2015...

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,831
Naomba tujikite kwenye thread. Ikiwezekana tupia picha.
Matusi na kuongea mtu sio mazuri kwa GT.
attachment.php
 

Attachments

  • MOI.jpg
    MOI.jpg
    91.4 KB · Views: 5,131
Akili fupi hii, gesi ilinayochimbwa leo unafikiri iligunduliwa mwaka jana? Hivyo na uwekezaji na mipango mingine pia utekelezaji wake ni hatua. "Mtaji wa mjinga ni majungu" We endelea kupiga majungu Serikali inapiga kazi.
 
Ccm hawatakiwi kujinadi kwa nguvu na jasho ila umri wao ktk siasa na sera zao na kiwango cha utekelezaji wa sera zao wananchi wakiviona hivyo,hakuna wakuibeza ccm.lakini kama ni maneno na maandishi tu hata mwana ccm ataikana ccm.
 
Mji wa Dar kupambwa na magorofa ya Kisasa kabia
hili hapa ni la Agens ya serikali
TPA (Tanzania Port Authority)
TPA1.jpg TPA2.jpg

TPA3.jpg
Kazi inafanyika kama hapo juu.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom