Ikwanja
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 2,082
- 581
Wana JF heshima kwenu!
Kwa jinsi serikali ya JK na ya wana CCM wenziwe inavyofanya mambo, kwa kweli inasikitisha sana, inatia hasira , inatia simanzi. Uswahiba unaimaliza nchi yetu. Hivi ikifika 2015 tutakuwa na chochote hazina kweli? Nchi siitakuwa ni kama jangwa, we need to say enough is enough!
Issue ya Jairo kwa mfano ni mbichi kabisa na kwa uelewa wa sasa hata watoto wadogo sana wanaielewa na kwa hali ya kwaida hukumu ilikuwa ni obvious kuwa Jairo hana kazi sasa kwa uchafu alionao ambao mbao ni sawa na uchafu wa grisi (grease) unasafishwa na maji tupu, yaani bila sabuni , hii ina sikikitisha sana
Hivi kumbe Tanzania ni kuwa; Mfano ukituhumiwa kuwa umeiba shilling 5,000,000/- na katika uchunguzi ikaonekana kiasi cha pesa halisi kilichopotea ni mfano Tsh 3,550,000/-, unakuwa huna kesi!! Naomba wanasheria mnisaidie maana naona sasa hii precedent itatumika katika tuhuma nyingi sana. CAG na usomi wote ule hajui kuwa sabuni tuu ingeweza kutoa huo uchafu, anatumia maji tupu kuondo grease? Nani atatunusuru sasa! CDM na wote wenye mapenzi meme let us do something please. I have no confidence with the CAG. Yaani CAG anatuambia ToR ya audit ile ilikuwa ni hansard, kazi hiyo mbona hata mtu wa kawaida tu angeweza kifanya na kumkuta jairo na hatia kumbwa. What a fake, childish precedent is this?
Nasema haya kwa sababu tuliona JK akimnadi Mramba , Lowasa, Rostam Chenge na wengine kumbe ni precedent kama hii. Nakumbuka kwa mramba Chiligati alisema zile ni tuhuma tu kwani anaweza kushinda kesi, kwa hiyo kwa issu ya mramba, hakuna kesi, pia angalia jinsi issue ya change na rada inavyochezwa, mara jarada lipo takukuru, mara ooho tayari lipo kwa DPP, mara naye DPP ooho bado jarada halijafika, nesema hivi, watanzania let us say enough is enough!! Aagh!!
Pendekezo langu!!
Kwakuwa muhimili wa utawala umeudhalilisha muhimili wa wananchi na
Kwa kuwa issue hii ilianzishwa na Sherukindo na kwa kuwa ilikuwa ni session ya Bunge, naomba leo WABUNGE WA CDM wasimame na waombe mwongozo wa kutokuwa na imani na Pinda na serikali yake ya ccm, kwa kuwa kanuni inataka mwongozo uwe kwa maandishi basi naomba hadi Ijumaa wawe wamefanya hivyo.
Nasema haya kwa sababu bunge limedhalilishwa mno, linataka kuonekana kuwa ni sehemu ya kutunga uongo! Naomba wote kwa hili waseme NO! Wasaliti tutawajua.
Pinda must resign!, Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign!
Wana JF nisiwachoshe, naomba michango yenu!
Kwa jinsi serikali ya JK na ya wana CCM wenziwe inavyofanya mambo, kwa kweli inasikitisha sana, inatia hasira , inatia simanzi. Uswahiba unaimaliza nchi yetu. Hivi ikifika 2015 tutakuwa na chochote hazina kweli? Nchi siitakuwa ni kama jangwa, we need to say enough is enough!
Issue ya Jairo kwa mfano ni mbichi kabisa na kwa uelewa wa sasa hata watoto wadogo sana wanaielewa na kwa hali ya kwaida hukumu ilikuwa ni obvious kuwa Jairo hana kazi sasa kwa uchafu alionao ambao mbao ni sawa na uchafu wa grisi (grease) unasafishwa na maji tupu, yaani bila sabuni , hii ina sikikitisha sana
Hivi kumbe Tanzania ni kuwa; Mfano ukituhumiwa kuwa umeiba shilling 5,000,000/- na katika uchunguzi ikaonekana kiasi cha pesa halisi kilichopotea ni mfano Tsh 3,550,000/-, unakuwa huna kesi!! Naomba wanasheria mnisaidie maana naona sasa hii precedent itatumika katika tuhuma nyingi sana. CAG na usomi wote ule hajui kuwa sabuni tuu ingeweza kutoa huo uchafu, anatumia maji tupu kuondo grease? Nani atatunusuru sasa! CDM na wote wenye mapenzi meme let us do something please. I have no confidence with the CAG. Yaani CAG anatuambia ToR ya audit ile ilikuwa ni hansard, kazi hiyo mbona hata mtu wa kawaida tu angeweza kifanya na kumkuta jairo na hatia kumbwa. What a fake, childish precedent is this?
Nasema haya kwa sababu tuliona JK akimnadi Mramba , Lowasa, Rostam Chenge na wengine kumbe ni precedent kama hii. Nakumbuka kwa mramba Chiligati alisema zile ni tuhuma tu kwani anaweza kushinda kesi, kwa hiyo kwa issu ya mramba, hakuna kesi, pia angalia jinsi issue ya change na rada inavyochezwa, mara jarada lipo takukuru, mara ooho tayari lipo kwa DPP, mara naye DPP ooho bado jarada halijafika, nesema hivi, watanzania let us say enough is enough!! Aagh!!
Pendekezo langu!!
Kwakuwa muhimili wa utawala umeudhalilisha muhimili wa wananchi na
Kwa kuwa issue hii ilianzishwa na Sherukindo na kwa kuwa ilikuwa ni session ya Bunge, naomba leo WABUNGE WA CDM wasimame na waombe mwongozo wa kutokuwa na imani na Pinda na serikali yake ya ccm, kwa kuwa kanuni inataka mwongozo uwe kwa maandishi basi naomba hadi Ijumaa wawe wamefanya hivyo.
Nasema haya kwa sababu bunge limedhalilishwa mno, linataka kuonekana kuwa ni sehemu ya kutunga uongo! Naomba wote kwa hili waseme NO! Wasaliti tutawajua.
Pinda must resign!, Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign! Pinda must resign!
Wana JF nisiwachoshe, naomba michango yenu!