serikali ya jk imeonyesha udhaifu mkubwa katika mambo mengi. lakini hili la loliondo limevunja record. hakuna serikali yoyote duniani inayoweza kuruhusu watu watumie dawa bila ku prove usalama wa dawa hiyo. hapa swala la imani halipo so long as watu wanakunywa dawa. ingekuwa kuombewa ndio ingekuwa imani. je ikigundulika baadae ina madhara watakufa watu milioni ngapi? je, mbona wasimpime mtu aliyepona na wakatoa taarifa rasmi? je, nchi inaweza kuishi kwa rumours tu? serikali makini ingechukua hatua muafaka
http://www.google.com
http://www.google.com