Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Inasikitisha sana kuona mbadala wa uongozi wa Chadema Arusha ukipata misukosuko ya kubambikiziwa kesi ya kutishia kufanya mauaji kwa Meya feki wa Arusha.More news to come,lakini yawezekana Ukombozi umekaribia na mabadiliko lazima yatokee hakuna nguvu ya kuzuia mabadiliko kitu ambacho Ccm na Serikali yake hawalifahamu.MAKAMANDA MSIOGOPE MUNGU YUU UPANDE WENU.