<br /><br /><br />
<br /><br />
Acha kuishi kwa kudhani, lete chanzo cha habari yako. Halafu nashangaa sana eti thread kama hii inaachwa na mods kujadiliwa wakati thread zetu za kuiponda magwanda zinakataliwa. Hivi wewe ukisema CCM inanyanyasa wapinzani je ukienda Syria, Yemen, Libya ya Gadaffi, Lebanon, Sudan utasema nini. Tuache unafiki na tuanze kuongea kwa uhalisia, ni nchi gani duniani watu wana uhuru wa kujieleza kama Tanzania?
<br
HAPA HAKUNA KISOMO