RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
Tumesikia jinsi serikali inavyotaka kudhibiti ukuaji wa CDM na kuwabana mbavu wasipumue
1. Marufuku kufanya mikutano ktk maeneo km mnazi mmoja, kidongo chekundu etc ati hata makongamano au maadhimisho yoyote.( wanalengwa CDM wakiingia na maandamano Dar)
2. wizara ya elimu imepiga marufuku wanasiasa kwenda vyuoni kueleza sera zao na kupata wafuasi ( vyuo vyote ccm haikubaliki hivyo hapa tena CDM wanalengwa)
3. Mengine mengi tu tutayasikia!! japo mi nasema haisaidii hii TZ kwa sasa ni PP (Peoples Power)!
1. Marufuku kufanya mikutano ktk maeneo km mnazi mmoja, kidongo chekundu etc ati hata makongamano au maadhimisho yoyote.( wanalengwa CDM wakiingia na maandamano Dar)
2. wizara ya elimu imepiga marufuku wanasiasa kwenda vyuoni kueleza sera zao na kupata wafuasi ( vyuo vyote ccm haikubaliki hivyo hapa tena CDM wanalengwa)
3. Mengine mengi tu tutayasikia!! japo mi nasema haisaidii hii TZ kwa sasa ni PP (Peoples Power)!