Serikali ya CCM yafanya kila mbinu kuikandamiza CHADEMA!

RealTz77

JF-Expert Member
May 18, 2009
738
40
Tumesikia jinsi serikali inavyotaka kudhibiti ukuaji wa CDM na kuwabana mbavu wasipumue

1. Marufuku kufanya mikutano ktk maeneo km mnazi mmoja, kidongo chekundu etc ati hata makongamano au maadhimisho yoyote.( wanalengwa CDM wakiingia na maandamano Dar)

2. wizara ya elimu imepiga marufuku wanasiasa kwenda vyuoni kueleza sera zao na kupata wafuasi ( vyuo vyote ccm haikubaliki hivyo hapa tena CDM wanalengwa)

3. Mengine mengi tu tutayasikia!! japo mi nasema haisaidii hii TZ kwa sasa ni PP (Peoples Power)!
 
Tumesikia jinsi serikali inavyotaka kudhibiti ukuaji wa CDM na kuwabana mbavu wasipumue

1. Marufuku kufanya mikutano ktk maeneo km mnazi mmoja, kidongo chekundu etc ati hata makongamano au maadhimisho yoyote.( wanalengwa CDM wakiingia na maandamano Dar)

2. wizara ya elimu imepiga marufuku wanasiasa kwenda vyuoni kueleza sera zao na kupata wafuasi ( vyuo vyote ccm haikubaliki hivyo hapa tena CDM wanalengwa)

3. Mengine mengi tu tutayasikia!! japo mi nasema haisaidii hii TZ kwa sasa ni PP (Peoples Power)!

Source please!
 
Ni serikali hiyohiyo ya CCM iliyo achia ujenzi holela katika jiji la Dar ufanyike. Viwanja vya michezo, mashule na maeneo ya kupumzikia karibia yote yameuzwa na kujengwa vitega uchumi vya watu binafsi.
 
Tumesikia jinsi serikali inavyotaka kudhibiti ukuaji wa CDM na kuwabana mbavu wasipumue

1. Marufuku kufanya mikutano ktk maeneo km mnazi mmoja, kidongo chekundu etc ati hata makongamano au maadhimisho yoyote.( wanalengwa CDM wakiingia na maandamano Dar)

2. wizara ya elimu imepiga marufuku wanasiasa kwenda vyuoni kueleza sera zao na kupata wafuasi ( vyuo vyote ccm haikubaliki hivyo hapa tena CDM wanalengwa)

3. Mengine mengi tu tutayasikia!! japo mi nasema haisaidii hii TZ kwa sasa ni PP (Peoples Power)!
Hili la Jimbo la vyuo vikuu la CCM liangaliwe upya Send to a friend Thursday, 29 July 2010 11:37 0diggsdigg

HIVI karibuni Chama cha Mapinduzi katika mkutano wake mkuu uliofanyika mjini Dodoma, walikubaliana kuunda jimbo maalumu kwaajili ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini.


Kwa maana hiyo wanafunzi wa vyuo vikuu sasa watakuwa na nafasi yao katika Halmashauri kuu ya CCM na watakuwa na uongozi kama ilivyo kwa mikoa mingine.


Hata alipokuwa katika mkutano wa kuwatambulisha wagombea urais wa chama hicho jijini Dar es Salaam, Rais Kikwete alitambulisha pia jimbo hilo.


Hii ni njia mojawapo ya CCM kuwavuta wanafunzi waendelee kukipenda chama hicho.


Siyo kwamba napinga wanafunzi wasishiriki siasa moja kwa moja, lakini naona sasa wanafunzi hasa walio wanachama wa CCM watashindwa kutenganisha muda wa masomo na shughuli za siasa.


Nasema hivyo kwasababu, kuanzishwa kwa jimbo hilo pia kutaendana na kazi kama vile kuchagua uongozi, kutafuta wanachama, kuanzisha matawi na shughuli nyingine za kichama.


Kwa mwanafunzi anayekabiliwa na masomo, ataweza kweli kuzingatia masomo hasa kama ni kiongozi wa chama ndani ya chuo?


Jambo la pili ni ushabiki wa vyama ambao unaweza kuwafanya wanafunzi washindwe kujifunza. Kama wale wanafunzi wanaosoma Sayansi ya siasa, kama mhadhiri anaeleza mapungufu ya chama chao, watamwelewa, au watamwona kama ana chuki na chama hicho?


Pamoja na kwamba baadhi ya wanafunzi wamelipokea suala hili kwa shangwe, wajue litakuja kuwaangamiza. Kwanza wangejiuliza, CCM hii iliyoshindwa kuwalipia ada, leo watu wanabaguliwa kwa matabaka kupewa mikopo ya elimu, kuanzishiwa jimbo ndiyo suluhisho?


CCM inataka kutumia migongo ya wanafunzi wa vyuo vikuu kushinda uchaguzi, kisha itawatelekeza.


Jumanne Madiga
Dodoma

Nimenukuu tu hiyo Habari ya CCM.

Leo hii wameona wanafunzi wa vyuo vikuu hawaitaki tena CCM wanaitaka CDM ndo wanakuja na Mikakati ya Kijinga kama hiyo!
 
Hili la Jimbo la vyuo vikuu la CCM liangaliwe upya Send to a friend Thursday, 29 July 2010 11:37 0diggsdigg

HIVI karibuni Chama cha Mapinduzi katika mkutano wake mkuu uliofanyika mjini Dodoma, walikubaliana kuunda jimbo maalumu kwaajili ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini.


Kwa maana hiyo wanafunzi wa vyuo vikuu sasa watakuwa na nafasi yao katika Halmashauri kuu ya CCM na watakuwa na uongozi kama ilivyo kwa mikoa mingine.


Hata alipokuwa katika mkutano wa kuwatambulisha wagombea urais wa chama hicho jijini Dar es Salaam, Rais Kikwete alitambulisha pia jimbo hilo.


Hii ni njia mojawapo ya CCM kuwavuta wanafunzi waendelee kukipenda chama hicho.


Siyo kwamba napinga wanafunzi wasishiriki siasa moja kwa moja, lakini naona sasa wanafunzi hasa walio wanachama wa CCM watashindwa kutenganisha muda wa masomo na shughuli za siasa.


Nasema hivyo kwasababu, kuanzishwa kwa jimbo hilo pia kutaendana na kazi kama vile kuchagua uongozi, kutafuta wanachama, kuanzisha matawi na shughuli nyingine za kichama.


Kwa mwanafunzi anayekabiliwa na masomo, ataweza kweli kuzingatia masomo hasa kama ni kiongozi wa chama ndani ya chuo?


Jambo la pili ni ushabiki wa vyama ambao unaweza kuwafanya wanafunzi washindwe kujifunza. Kama wale wanafunzi wanaosoma Sayansi ya siasa, kama mhadhiri anaeleza mapungufu ya chama chao, watamwelewa, au watamwona kama ana chuki na chama hicho?


Pamoja na kwamba baadhi ya wanafunzi wamelipokea suala hili kwa shangwe, wajue litakuja kuwaangamiza. Kwanza wangejiuliza, CCM hii iliyoshindwa kuwalipia ada, leo watu wanabaguliwa kwa matabaka kupewa mikopo ya elimu, kuanzishiwa jimbo ndiyo suluhisho?


CCM inataka kutumia migongo ya wanafunzi wa vyuo vikuu kushinda uchaguzi, kisha itawatelekeza.


Jumanne Madiga
Dodoma

Nimenukuu tu hiyo Habari ya CCM.

Leo hii wameona wanafunzi wa vyuo vikuu hawaitaki tena CCM wanaitaka CDM ndo wanakuja na Mikakati ya Kijinga kama hiyo!

Nakumbuka ile miaka ya 90 matawi ya vyama vya siasa yalizuiliwa katika ofisi za Serikali na Mashuleni, je hii ya Jimbo maalum kwa ajili ya Vyuo vikuu ni tofauti matawi ya vyama vya siasa mashuleni?
 
Doesn't this pronouncement violate the right of people to freely assemble as stipulated in our constitution?

This with reference to banning people not to assemble at both Jangwani and Kidongo chekundu grounds unless vetted by CCM functionaries.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom