Serikali ya CCM walipeni mishahara walimu

Nzagabulu

Member
Jan 3, 2013
60
8
Ni zaidi ya waki nzima walimu katika baadhi ya halimashauri za wilaya hawajalipwa mishahara yao na hakuna chochote cha maana kilichoelezwa na wenye dhamana, licha ya kupewa ujira kiduchu na serikali lakini bado inawcheleweshea mishahara yao, baadhi ya wilaya zilizokumbwa na kadhia hiyo ni pamoja na Ilemela, Nyamagana, Ukelewe, Kigoma na nyingine kadhaa, Swali langu kwa hawa wakubwa, wanataka kusema hawalijui hilo? au kwa kuwa wao posho yao wanalipwa ndo hawawjali wengine.
 
Waalimu katika baadhi ya halimashauri za wilaya hapa nchini bado hawajalipwa mishahara ya mwezi mei, aidha hakuna sababu yoyote ya msingi iliyokwisha kutolewa na watawala juu ya kadhia hiyo,kukaa kimya kwa watawala kunaashiria hawahusiki na kadhia hii wanayoipata waalimu, niwaombe wahusika wasitafute mchawi pindi serikali yao inapozidi kuchukiwa na waalimu. Mifano ya halimashauri ambazo walimu wake hawajapata mishahara yao ni pamoja na Jiji la Mwanza, Wilaya ya Ukelewe,Kigoma mjini, Kigoma Vijijini, Kibondo na Nyingine nyingi.
 
Mbayuwayu: Akili za kuambiwa changanya na za kwako, hapo kama ulikatazwa kufuga japo kuku wa mayai basi itakuwa tabu zaidi
 
Ni zaidi ya waki nzima walimu katika baadhi ya halimashauri za wilaya hawajalipwa mishahara yao na hakuna chochote cha maana kilichoelezwa na wenye dhamana, licha ya kupewa ujira kiduchu na serikali lakini bado inawcheleweshea mishahara yao, baadhi ya wilaya zilizokumbwa na kadhia hiyo ni pamoja na Ilemela, Nyamagana, Ukelewe, Kigoma na nyingine kadhaa, Swali langu kwa hawa wakubwa, wanataka kusema hawalijui hilo? au kwa kuwa wao posho yao wanalipwa ndo hawawjali wengine.

Aise ni balaa, especially ya Halmashauri ya Rungwe, Mbeya inanuka kabisa. Serikali ilitangaza walimu wapya wataanza kulipwa mwezi huohuo walioripot lakin walimu wapya wameanza kulipwa mwezi wa tano na miezi mingne wameambiwa wadai. Na Rungwe ilivyo hiyo ndo wasahau. Nashangaa Halmashauri zingine wamepewa, Rungwe no why???? Serikali please icheki Rungwe vizuri mambo mengi hayaendi, management ni kama haipo kabisa.
 
Katika jesshi kubwa la ukombozi na kuwaondoa masisiem ni waalimu,nashangaa sana kwa ukondoo wao na kucheka na majangili wakati wanalipwa mshahara wa hausigeli...
 
Ni zaidi ya waki nzima walimu katika baadhi ya halimashauri za wilaya hawajalipwa mishahara yao na hakuna chochote cha maana kilichoelezwa na wenye dhamana, licha ya kupewa ujira kiduchu na serikali lakini bado inawcheleweshea mishahara yao, baadhi ya wilaya zilizokumbwa na kadhia hiyo ni pamoja na Ilemela, Nyamagana, Ukelewe, Kigoma na nyingine kadhaa, Swali langu kwa hawa wakubwa, wanataka kusema hawalijui hilo? au kwa kuwa wao posho yao wanalipwa ndo hawawjali wengine.
lazima tukwamishe wilaya zilizo na harufu ya upinzani.
 
poleni walimu kwenye halmashauri ambazo hamjapewa mishahara yenu cha muhimu kwenu ni kujihusisha pia na ujasiliamali kuliko kutegemea tu mshahara.
 
Ni zaidi ya waki nzima walimu katika baadhi ya halimashauri za wilaya hawajalipwa mishahara yao na hakuna chochote cha maana kilichoelezwa na wenye dhamana, licha ya kupewa ujira kiduchu na serikali lakini bado inawcheleweshea mishahara yao, baadhi ya wilaya zilizokumbwa na kadhia hiyo ni pamoja na Ilemela, Nyamagana, Ukelewe, Kigoma na nyingine kadhaa, Swali langu kwa hawa wakubwa, wanataka kusema hawalijui hilo? au kwa kuwa wao posho yao wanalipwa ndo hawawjali wengine.

Mbona hiza wilaya zote ni zile amabazo zinaongozwa na Wapinzani?

Ilemela Highness Kiwia (CDM)
Nyamagana Hezekiel Wenje (CDM)
Ukerewe Salvatory Machemuli (CDM)
Kigoma Zitto Kabwe (CDM)

I smell rat! huu utakuwa mchezo mchafu unaofanywa na Serikali ya CCM. Wilaya nyingine zinazoongozwa na CCM tulipata tangia 28/05
 
Waalimu wamezidi uoga na ujinga coz hata haki zao za msingi hawawezi kudai ! Ila tunashukuru mlitusaidia, endeleeni kuteseka hayo ndio maisha mliyoyachagua
 
umeshafurahi? unadiriki kufananisha mshahara wa mwl na mshahara wa house girl? siyo kosa lako... umesoka na mambumbumbu wenzako,... ova
 
Back
Top Bottom