Serikali ya ccm ni ya kidikteta?

Nikukumbushe

JF-Expert Member
Jun 4, 2013
2,602
408
Hii inatokana na operesheni ya Tokomeza ujangili,haiwezekani watu wanawekea chupa sehemu za siri,wanalazimishwa kufanya mapenzi na miti au wakwe zao! Hii nchi ya utawala wa sheria au ni mfumo wa kidikteta?
 
Haiwezekani watu wanawekea chupa sehemu za siri,wanalazimishwa kufanya mapenzi na miti au wakwe zao! Hii nchi ya utawala wa sheria au ni mfumo wa kidikteta?


Shiiiiiiii nyamaza unapofanyiwa kitu kibaya isijitetee, nyamaza usivunje ya ccm amani shiiiii ccm imeshika hatamu!
 
akili zingine za ajabu sana kwani ccm ndiyo ilikuwa inafanya hayo unayodhani wewe bavicha mnamatatizo kweli.
 
akili zingine za ajabu sana kwani ccm ndiyo ilikuwa inafanya hayo unayodhani wewe bavicha mnamatatizo kweli.

We ndo poyoyo kweli!! Kwani Serikali iko chini ya Chama gani? Inawezekana hata kwanini tunafanyaga uchaguzi hujui!! Kwa kukufahamishi ni hivi..... Wananchi ambao ndo wenye mali wameipa dhamana CCM kulinda na kusimamia maslahi ya taifa, Sasa mlinzi ambaye ni CCM chini ya serikali yake inashirikiana na wezi(majangili) kutuibia sisi wananchi (wenye mali)... Hapo huwezi kusema eti mlinzi/msimamizi(Serikali ya CCM) haihusiki... Hapo huwezi kuwatenganisha mlinzi na mwizi wote ni kuwachukulia hatua...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom