Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Sasa imeanza kujengeka tabia ya kutumia risasi za moto na kuuwa wananchi wasio na hatia. Hiyo ni dalili ya uongozi wa udikteta wa kutaka kunyamazisha sauti za wananchi. Leo hii wananchi 3 watatu wilayani Mbarali wameuawa na polisi na vurugu bado zinaendela. Kwa mwenendo huu, ccm na serikali yake wanataka kumtawala nani?? Mbona wanawauwa wanaowatawala?