kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,648
- 3,003
Kuna tetesi kuwa mkuu wa wilaya ya arumeru ameagiza watumishi waketwe kuanzia shs 50000 toka kwenye mishahara yao kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa maabara mashuleni.hivi ni kweli? kama ndivyo basi ccm kwshney.zile za rada vipi?hamwoni tu hali duni ya mtumishi?hamwoni anavyolemewa na mzigo wa kodi na mshahara mdogo bila kusahau msalaba wa kodi za nyumba?serikali hiyo hiyo imewadhulumu madeni yao inaendelea kuwakamua..usikivu wa ccm wapi??????