Serikali ya CCM isitumie nguvu kubwa kuwabana wapinzani wanaodai katiba mpya, tukipata katiba mpya wanufaika wakubwa ni wafuasi wa CCM wenye hali duni

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
8,708
5,711
Suala la taifa letu kuwa na katiba mpya tusiliangalie kwa upande mmoja tu wa shilingi.

Katiba tuliyonayo ina mapungufu makubwa sana ambayo hayamnufaishi mwananchi wa kawaida mwenye maisha duni.

Wananchi wanahitaji katiba itakayowapa nguvu ya kuonekana kuwa wana maamuzi kwenye nchi yao.

Tunahitaji katiba ambayo tutaweza kuwafuta kazi mawaziri wasiofaa kama Mwigulu Nchemba sisi kama wananchi, sio mpaka aliomteua amfute kazi.

Vipi kuhusu wananchi wa kawaida kuwa na uwezo kudai haki za ndugu zao waliouliwa na vuombo vya dola? Maana kwa sasa wananchi hawarusiwi kufungua kesi. Mpaka jamhuri tu ifungue kesi.

Hawa wananchi ambao sasa hawarusiwi kufungua kesi ndio hawa ndugu zao wanauliwa na askari wasiopenda haki bila makosa huku haki za ndugu zao zikipotea.

Wengi wa hawa wananchi wa kawaida na wenye maisha duni ni wafuasi na wapenzi wa Ccm

Hivyo tuache kuzuia upatikanaji wa katiba mpya. Maana itakuwa na manufaa makubwa kwa taifa letu.
 
Bunge lipi litakalotupatia hiyo katiba mpya iliyo nzuri? Kule Zenji wawakilishi 77 wapinzan wako 7 tu. Huku bara WABUNGE karibia 400 wapinzan wanakaribia 10 tu kama wale covid-19 hawatambuliki.

Sasa vipengele vitamu kama hivyo vitapitishwa na hawahawa waliopitisha kodi ya uzalendo?

Jaman tuache utani... hatuna uwezo kutengeneza katiba bora kwa uwakilishi tulionaoa.

Au itatungwa humu JF na GREAT THINKERS...!!??
 
Suala la taifa letu kuwa na katiba mpya tusiliangalie kwa upande mmoja tu wa shilingi.

Katiba tuliyonayo ina mapungufu makubwa sana ambayo hayamnufaishi mwananchi wa kawaida mwenye maisha duni.

Wananchi wanahitaji katiba itakayowapa nguvu ya kuonekana kuwa wana maamuzi kwenye nchi yao.

Tunahitaji katiba ambayo tutaweza kuwafuta kazi mawaziri wasiofaa kama Mwigulu Nchemba sisi kama wananchi, sio mpaka aliomteua amfute kazi.

Vipi kuhusu wananchi wa kawaida kuwa na uwezo kudai haki za ndugu zao waliouliwa na vuombo vya dola? Maana kwa sasa wananchi hawarusiwi kufungua kesi. Mpaka jamhuri tu ifungue kesi.

Hawa wananchi ambao sasa hawarusiwi kufungua kesi ndio hawa ndugu zao wanauliwa na askari wasiopenda haki bila makosa huku haki za ndugu zao zikipotea.

Wengi wa hawa wananchi wa kawaida na wenye maisha duni ni wafuasi na wapenzi wa Ccm

Hivyo tuache kuzuia upatikanaji wa katiba mpya. Maana itakuwa na manufaa makubwa kwa taifa letu.
mwisho wa siku sisi wapinzani maisha yetu mazuri tu. Ni vile hatuna ubinafsi tunawapigania maskini
 
Suala la taifa letu kuwa na katiba mpya tusiliangalie kwa upande mmoja tu wa shilingi.

Katiba tuliyonayo ina mapungufu makubwa sana ambayo hayamnufaishi mwananchi wa kawaida mwenye maisha duni.

Wananchi wanahitaji katiba itakayowapa nguvu ya kuonekana kuwa wana maamuzi kwenye nchi yao.

Tunahitaji katiba ambayo tutaweza kuwafuta kazi mawaziri wasiofaa kama Mwigulu Nchemba sisi kama wananchi, sio mpaka aliomteua amfute kazi.

Vipi kuhusu wananchi wa kawaida kuwa na uwezo kudai haki za ndugu zao waliouliwa na vuombo vya dola? Maana kwa sasa wananchi hawarusiwi kufungua kesi. Mpaka jamhuri tu ifungue kesi.

Hawa wananchi ambao sasa hawarusiwi kufungua kesi ndio hawa ndugu zao wanauliwa na askari wasiopenda haki bila makosa huku haki za ndugu zao zikipotea.

Wengi wa hawa wananchi wa kawaida na wenye maisha duni ni wafuasi na wapenzi wa Ccm

Hivyo tuache kuzuia upatikanaji wa katiba mpya. Maana itakuwa na manufaa makubwa kwa taifa letu.
Wenye hali ngumu wamefanywa wawe na hali ngumu ili wajikeep bize na hali ngumu
 
Suala la taifa letu kuwa na katiba mpya tusiliangalie kwa upande mmoja tu wa shilingi.

Katiba tuliyonayo ina mapungufu makubwa sana ambayo hayamnufaishi mwananchi wa kawaida mwenye maisha duni.

Wananchi wanahitaji katiba itakayowapa nguvu ya kuonekana kuwa wana maamuzi kwenye nchi yao.

Tunahitaji katiba ambayo tutaweza kuwafuta kazi mawaziri wasiofaa kama Mwigulu Nchemba sisi kama wananchi, sio mpaka aliomteua amfute kazi.

Vipi kuhusu wananchi wa kawaida kuwa na uwezo kudai haki za ndugu zao waliouliwa na vuombo vya dola? Maana kwa sasa wananchi hawarusiwi kufungua kesi. Mpaka jamhuri tu ifungue kesi.

Hawa wananchi ambao sasa hawarusiwi kufungua kesi ndio hawa ndugu zao wanauliwa na askari wasiopenda haki bila makosa huku haki za ndugu zao zikipotea.

Wengi wa hawa wananchi wa kawaida na wenye maisha duni ni wafuasi na wapenzi wa Ccm

Hivyo tuache kuzuia upatikanaji wa katiba mpya. Maana itakuwa na manufaa makubwa kwa taifa letu.
Ndivyo ilivyo
 
Wapinzani nao watoe boriti kwenye macho yao. Kwa mfano kule CDM kuna Mwenyekiti mmoja toka mwaka 2002 wakati CCM imepata wenyeviti 4 kwa kipindi hicho.

Kama Mbowe anaweza kukandamiza demokrasia kwenye kikundi kidogo cha Watanzania, huoni kuwa akipata madaraka makubwa atakuwa hatari sana.

Ningeunga mkono kama hitaji la Katiba Mpya lingekuwa na msukumo wa wananchi badala ya vyama vya Siasa.

Nyani haoni kundule.
 
Huwa nawaambia mataga tunao support upinzani tunasumwa na uzalendo siyo njaa
Kiufupi wapinzani 97% ni wale tuna kazi na elimu zetu nzuri. Wenye vipato. Hata mwanyekiti wa Upinzani kijijini unakuta ana akili na kipato kuzidi Diwani wa CCM au Katibu Tarafa
 
Wapinzani nao watoe boriti kwenye macho yao. Kwa mfano kule CDM kuna Mwenyekiti mmoja toka mwaka 2002 wakati CCM imepata wenyeviti 4 kwa kipindi hicho.

Kama Mbowe anaweza kukandamiza demokrasia kwenye kikundi kidogo cha Watanzania, huoni kuwa akipata madaraka makubwa atakuwa hatari sana.

Ningeunga mkono kama hitaji la Katiba Mpya lingekuwa na msukumo wa wananchi badala ya vyama vya Siasa.

Nyani haoni kundule.
Swala sio kukaa muda mrefu swala ni namana anavyopatikana. Kule fomu tunaprint zaidi ya 50. Uchaguzi ni wa wazi haujawahi kusikika tetesi yoyote ua rushwa. Maafisa vipenyo walijaribu wakashindwa
 
Wapinzani nao watoe boriti kwenye macho yao. Kwa mfano kule CDM kuna Mwenyekiti mmoja toka mwaka 2002 wakati CCM imepata wenyeviti 4 kwa kipindi hicho.

Kama Mbowe anaweza kukandamiza demokrasia kwenye kikundi kidogo cha Watanzania, huoni kuwa akipata madaraka makubwa atakuwa hatari sana.

Ningeunga mkono kama hitaji la Katiba Mpya lingekuwa na msukumo wa wananchi badala ya vyama vya Siasa.

Nyani haoni kundule.
Wewe ni wale wale. Katiba ina mlengo wa kisiasa 90%. ULISIKIA WAPI msukumo wa katiba usio na mlengo wa kisiasa?

Ukiwa ccm ndio unakuwa na akili hutumii?
 
Katiba mpya ni muhimu sana kwa hii nchi. Teuzi, gharama za serikali, vipaumbele, madaraka, maadili, usimamiaji wa serikali hivi vitu inabidi vipitiwe upya na katiba mpya.

Mfano hakuna sababu ya viongozi wengi kununuliwa gari za gharama, kujengeneana nyumba, kupeana magari, kuajiri ndugu, washikaji kwenye ofisi nyeti watu wasio na maadili, uwezo wa kazi nk.

Kufanya maamuzi makubwa bila kuangalia maslahi mapana ya Taifa.

Kuweka watu ndani bila dhamana na kuwapa kesi za Ugaidi, uhujumu uchumi kiholela sio sahihi kesi kama hizi inabidi ziangaliwe upya na katiba mpya itasaidiq kusimamia haki za wananchi.

Unaweza kupunguza gharama kubwa za serikali ku- abolish ofisi ya makamu wa Rais, kupunguza wabunge, wakurugenzi, wakuu wa mikoa na wilaya.

Katiba mpya itasaidia kuwawajibisha viongozi wote, kuondoa kinga kwa viongozi wote wa serikali na umma. Kusimamia haki kwa watu wote.

Vipaumbele viwe kupunguza urasimu, kupiga vita rushwa, kuweka mazingira sahihi ya biashara, mfumo wa elimu unaowezesha wananchi wengi kujiari, kutanua wigo wa walipa kodi na kupunguza kodi na usumbufu kwa walipa kodi nk.

Katiba mpya itatusaidia kwenye mambo mengi.
 
Swala sio kukaa muda mrefu swala ni namana anavyopatikana. Kule fomu tunaprint zaidi ya 50. Uchaguzi ni wa wazi haujawahi kusikika tetesi yoyote ua rushwa. Maafisa vipenyo walijaribu wakashindwa
Umeanza lini kufuatilia Siasa? Mwaka ule Chacha Wangwe alitaka kugombea unajuwa aliishia wapi? Mwaka 2010 Zitto Kabwe alitaka kugombea, I hope unajuwa kuwa yeye na wenzie akina Prof Kitila walifukuzwa uanachama!

Je ni nani ambaye Mbowe alimuambia sumu haipimwi kwa kuonja? Sumaye
 
Back
Top Bottom